Boxabl Casita: Elon Musk aanzisha makazi ya Bei nafuu

Boxabl Casita: Elon Musk aanzisha makazi ya Bei nafuu

Neyahoo

Member
Joined
Sep 7, 2019
Posts
81
Reaction score
92
Wakati watu wengine wakipata utajiri wanawaza kuspend as much as they can au asipospend Basi atawekeza zaidi kukuza utajiri wao lakin Elon musk yupo kivingine huyu jamaa Ana vision ya hali ya juu Sana badala ya kuongeza product ambazo zitawanyonya wanyonge ili yeye abaki juu kama wanavyofanya wengine yeye always anatafuta solution ya kuwezesha maisha kuwa affordable as possible hata kwa mtu wa kawaida sana.

Haya Sasa here you go boxabl Casita na campuni ya kutengeneza mobile houses Yani unatumiwa nyumban Kama vile parcel Yan unaenda kuichukua bandarini kama gari vile hahaha. Ujenzi wa Hizi nyumban wanatumia prefabricated materials sio concrete Kama tulivozoea hii kweli itabadilisha maisha ya watu wengi Sana,watu wataweza kuafford their dream house.

Sijajua ubora wake japo haziwezi kuwa na ubora sawa na Hizi za cement lkn ubora utakuwepo kwa kiwango chake,ubora unaoweza kusipport Hizi nyumban ndogondogo za vyumba viwilivitatu sio mbaya .kwa kweli nampongeza Sana anawaza mbali mno ,hivi unapata hisia gani ukiambiwa Kuna uwezekano wa kujengewa your dream house ambayo ingekugharimu 100M kwa 30M fantastic isn't?

Nataman Africa nasi tungefika huku,sio kwamba hakuna wabunifu wapo wengi Sana dunia haijawah kuishiwa wabunifu popote pale sema Sera zetu ndio zinatukwamisha. Mfano ukija na project ya hivi ukute Kuna kigogo flan Ana deal na real estate lazima akutengenezee scandal uanguke na Mara zote alieshikilia mpini ndio mshindi wewe ulieshikilia makali uachie au ukatwe ufwe😴.

Ngoja ningojee izi Ajira za sensa Mambo yakitiki labda ntaagiza rumu mbili za mwendokasi😋😁😁
Screenshot_20220622-112409.jpg
Screenshot_20220622-112428.jpg
Screenshot_20220622-112409.jpg
Screenshot_20220622-112338.jpg
Screenshot_20220622-112428.jpg
Screenshot_20220622-112315.jpg
Screenshot_20220622-112321.jpg
Screenshot_20220622-112212.jpg
Screenshot_20220622-112140.jpg
Screenshot_20220622-112104.jpg
Screenshot_20220622-112110.jpg
Screenshot_20220622-112237.jpg
Screenshot_20220622-112237.jpg
 
Mjanja mjanja tu na yeye na anadaka utajiri.
Mfano Tesla ni expenaive sana hata siyo affordable. Na wameifanya kama products za apple ikiwa na shida hawauzi vipuri inabidi uende kwa dealers wao ndiyo wiatengeneze na bei ni expensive sana.

Kuhusu kulinda mazingira ni mbwembwe tu za kibiashata, maana madini yanayotumika kutengeneza hizo betri yanachimbwa afrika tena sehemu zenye migogoro na kuhusisha child labor na hili ni suala linaongelewa sana.
Bado space X inachoma tons of fuel na kuachia hewa chafu wakati wanalaunch rocket zao angani.

Ukija starlink, constellation za satelite zao ambazo anataka azisambaze angani wataalam wanadai zinaweza kuleta hatari ya takataka huko angani na kuzuia uwezo wa kuobserve space kiurahisi huko mbeleni.

Pia jamaa anachunguzwa kwa kuvunja vipengele kadhaa wakati wa kununua na kuuza hisa za Tesla.
Deal la Twitter lenyewe amekuwa hata haeleweki, alisema anainunua hisa zikapanda gafla sasa hivi anasema ameiweka onhold, ila anataka wapunguze bei ili ainunue kwa bei ya chini kidogo.

Jamaa mjanja janja fulani
Halafu sijawahi sikia anatoa donation za maana. Bora hata ya Vitalis mzee wa ethreum, alidonate coin karibu coin zenye thamani ya 1.2 billion usd na nyingine zilizobaki akazichoma. Hizi coin alikuwa kapewa bure
 
Mjanja mjanja tu na yeye na anadaka utajiri.
Mfano Tesla ni expenaive sana hata siyo affordable. Na wameifanya kama products za apple ikiwa na shida hawauzi vipuri inabidi uende kwa dealers wao ndiyo wiatengeneze na bei ni expensive sana.

Kuhusu kulinda mazingira ni mbwembwe tu za kibiashata, maana madini yanayotumika kutengeneza hizo betri yanachimbwa afrika tena sehemu zenye migogoro na kuhusisha child labor na hili ni suala linaongelewa sana.
Bado space X inachoma tons of fuel na kuachia hewa chafu wakati wanalaunch rocket zao angani.

Ukija starlink, constellation za satelite zao ambazo anataka azisambaze angani wataalam wanadai zinaweza kuleta hatari ya takataka huko angani na kuzuia uwezo wa kuobserve space kiurahisi huko mbeleni.

Pia jamaa anachunguzwa kwa kuvunja vipengele kadhaa wakati wa kununua na kuuza hisa za Tesla.
Deal la Twitter lenyewe amekuwa hata haeleweki, alisema anainunua hisa zikapanda gafla sasa hivi anasema ameiweka onhold, ila anataka wapunguze bei ili ainunue kwa bei ya chini kidogo.

Jamaa mjanja janja fulani
Halafu sijawahi sikia anatoa donation za maana. Bora hata ya Vitalis mzee wa ethreum, alidonate coin karibu coin zenye thamani ya 1.2 billion usd na nyingine zilizobaki akazichoma. Hizi coin alikuwa kapewa bure
Ahaa kumbe jamaa nae analamba asali kiwest zaid😁😁
 
Everything is technology my friend, watu weusi tuna technolojia zetu ambazo tunaweza kuziboresha kutupa makazi bora kwa gharama nafuu..........why always kusubiri ubunifu wa mzungu, hadi nyumba tuletewe na meli?
 
Mazingira ndugu ,huku Sera ni mbovu hawasaport inovation gundua kitu uone utakavyodaiwa vibali Kama vyote,halaf mda huo hauna nguvu kiuchumi. Pia matajiri wetu hawana mwamko wa kuwekeza kwenye talent km izi wengi wanakimbilia kwenye intertainment miziki mpira ndio utasikia tajir flan kaweka mkono pale.huwezi kufanya kitu peke yako hata hao tunaowaona wanashine huko ulaya na marekani wamewezeshwa,wapo kwenye mazingira mazuri ya kusapotiwa kuanzia serikali,angel investors, venture capitalists etc
Sasa huku tu mzazi mwenyewe anaeza kukupotezea hatuwezi kufika kwa stahili hii
Everything is technology my friend, watu weusi tuna technolojia zetu ambazo tunaweza kuziboresha kutupa makazi bora kwa gharama nafuu..........why always kusubiri ubunifu wa mzungu, hadi nyumba tuletewe na meli?
 
Kuna vitu Afrika huwezi vitumia, mojawapo ni nyumba isiyo salama kwa vibaka na wezi...

Watu wanapindisha dirisha la nondo, toboa ukuta wa tofali n.k
 
Wakati watu wengine wakipata utajiri wanawaza kuspend as much as they can au asipospend Basi atawekeza zaidi kukuza utajiri wao lakin Elon musk yupo kivingine huyu jamaa Ana vision ya hali ya juu Sana badala ya kuongeza product ambazo zitawanyonya wanyonge ili yeye abaki juu kama wanavyofanya wengine yeye always anatafuta solution ya kuwezesha maisha kuwa affordable as possible hata kwa mtu wa kawaida sana.

Haya Sasa here you go boxabl Casita na campuni ya kutengeneza mobile houses Yani unatumiwa nyumban Kama vile parcel Yan unaenda kuichukua bandarini kama gari vile hahaha. Ujenzi wa Hizi nyumban wanatumia prefabricated materials sio concrete Kama tulivozoea hii kweli itabadilisha maisha ya watu wengi Sana,watu wataweza kuafford their dream house.

Sijajua ubora wake japo haziwezi kuwa na ubora sawa na Hizi za cement lkn ubora utakuwepo kwa kiwango chake,ubora unaoweza kusipport Hizi nyumban ndogondogo za vyumba viwilivitatu sio mbaya .kwa kweli nampongeza Sana anawaza mbali mno ,hivi unapata hisia gani ukiambiwa Kuna uwezekano wa kujengewa your dream house ambayo ingekugharimu 100M kwa 30M fantastic isn't?

Nataman Africa nasi tungefika huku,sio kwamba hakuna wabunifu wapo wengi Sana dunia haijawah kuishiwa wabunifu popote pale sema Sera zetu ndio zinatukwamisha. Mfano ukija na project ya hivi ukute Kuna kigogo flan Ana deal na real estate lazima akutengenezee scandal uanguke na Mara zote alieshikilia mpini ndio mshindi wewe ulieshikilia makali uachie au ukatwe ufwe😴.

Ngoja ningojee izi Ajira za sensa Mambo yakitiki labda ntaagiza rumu mbili za mwendokasi😋😁😁
Ukiweka na picha ya hizo nyumba, utakuwa umeutendea haki uzi wako.
 
Dah kweli asee
Kuna vitu Afrika huwezi vitumia, mojawapo ni nyumba isiyo salama kwa vibaka na wezi...

Watu wanapindisha dirisha la nondo, toboa ukuta wa tofali n.k
Da kweli asee umeona mbali hahaha,Hawa panya road wanatukwamisha sana
 
hawa jama na vimbunga vyao vyenye kila aina ya majina na hizo nyumba wasije tu bebwa ndani wakajikuta baharini.
 
Back
Top Bottom