Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Mwaka mpya mwema wapendwa,
Nina pikipiki Boxer (BM150) nikiwa kwenye high way nikikimbia sana(nikivuta mafuta hadi mwisho) naishia speed ya 90 km/h sivuki 100km/h nakuendelea.
Tatizo linaweza kuwa nini na naweza kulitatua vipi ndugu zanguni.
Nina pikipiki Boxer (BM150) nikiwa kwenye high way nikikimbia sana(nikivuta mafuta hadi mwisho) naishia speed ya 90 km/h sivuki 100km/h nakuendelea.
Tatizo linaweza kuwa nini na naweza kulitatua vipi ndugu zanguni.