Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Vipi una la kusema?.
Ha ha ha ha ha.
AJ hamna kitu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi una la kusema?.
Msiniambie kapigwa mbona majanga hayaZama za AJ ndo zimeisha hivo, tangu apigwe na Andy Ruiz ameporomoka kiwango chake kwa kasi....Imeniuma sana....!!!
-Miguu yake haina balance
-Anarusha ngumi kwa mbali tena kwa uwoga
-Pumzi inakata mapema.
Yani siku akijaribu kuomba pambano na Tyson Fury hamalizi raundi mbili.
Bodybuilder amepigwa nyumbani.Nan kashinda hili pambano wengine hatujachek
Ile left hand ni hatari sana.Aiseeee
Acheni masikhara, huyu USYK anarusha mawe jamani.
AJ kapigwa kwa point, ila raundi ya mwisho zingeongezeka sekunde 15 alikua apigwe kwa KO.Msiniambie kapigwa mbona majanga haya
AJ kapigwa kipigo cha mbwa kokoNan kashinda hili pambano wengine hatujachek
Ha ha haAJ ndio zile zile mbwembwe za waingereza ila hewa tupu. Na angepigwa TKO mjinga huyu.View attachment 1953012
Usyk anasema alitaka kumuua mapema tuuu, ila benchi lake la ufundi likamwambia "....noooo, do your job...."AJ kapigwa kipigo cha mbwa koko
Ha ha haUsyk anasema alitaka kumuua mapema tuuu, ila benchi lake la ufundi likamwambia "....noooo, do your job...."
Pole kijanaHii Jumamosi ilikua ya hovyo haswa:
-Man U katandikwa na A Villa
-Simba kagaragazwa na Uto
-AJ kavimbishwa jicho na Usyk.
Usingizi nao umegoma....
Ghafla innaingia meseji ya mpenzi wako kakosea kukutumia alikua anamtumia mchepuko wakeHii Jumamosi ilikua ya hovyo haswa:
-Man U katandikwa na A Villa
-Simba kagaragazwa na Uto
-AJ kavimbishwa jicho na Usyk.
Usingizi nao umegoma....