mizy gajo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 801
- 887
Mkuu hiyo ya Ruslan sikufanikiwa kuuona...
Ila weka mbali kabisa huo mpambano wa el chino vs khan the king himself hii pambano ilikua hatari sana.. Nilidhani inaweza kuisha round ya kwanza baada ya maidana marcos el chino kupokea left hook nzito iliyomplka chini...daah sema mwamba aliugulia maumivu akaamka tenaa... Ile pambano ilikua nikali na nafikiri maidana Ali deserve ushindi sema fitna tuuh hakupewa coz khan kila saa alikua anabanwa kwenye angle na kupelekewa uppercut za kutosha sjui kilitokea nn jamanii...
Ila weka mbali kabisa huo mpambano wa el chino vs khan the king himself hii pambano ilikua hatari sana.. Nilidhani inaweza kuisha round ya kwanza baada ya maidana marcos el chino kupokea left hook nzito iliyomplka chini...daah sema mwamba aliugulia maumivu akaamka tenaa... Ile pambano ilikua nikali na nafikiri maidana Ali deserve ushindi sema fitna tuuh hakupewa coz khan kila saa alikua anabanwa kwenye angle na kupelekewa uppercut za kutosha sjui kilitokea nn jamanii...
Ulibahatika kuona mpambano wa Lucas Matthyesse na Ruslan au Maidana na Khan.
Watu ni sugu jamani! Ruslan alipata kipigo cha mbwa koko, ila alimtoa jasho Matthysse.
Ngumi zinarushwa balaa.
Unawazungumziaje wakali wa sasa. Errol spencer jr, Gevronta Davis Tank na Crawford?