Boxing | Arturo Gatti v Micky Ward: Pambano bora la muda wote

Mkuu hiyo ya Ruslan sikufanikiwa kuuona...
Ila weka mbali kabisa huo mpambano wa el chino vs khan the king himself hii pambano ilikua hatari sana.. Nilidhani inaweza kuisha round ya kwanza baada ya maidana marcos el chino kupokea left hook nzito iliyomplka chini...daah sema mwamba aliugulia maumivu akaamka tenaa... Ile pambano ilikua nikali na nafikiri maidana Ali deserve ushindi sema fitna tuuh hakupewa coz khan kila saa alikua anabanwa kwenye angle na kupelekewa uppercut za kutosha sjui kilitokea nn jamanii...
 
Ulicheki battle of the titans...
kati ya (the lion na dr. iron fist).... Hii ndo kali yangu ya miakaa yotee sababu lennox alisababisha nione sisi mablack ni powerfully kwa body power...
 
Hahahahahah Maidana alikuja kuonekana kuanzia round ya tano kama sikosei. Round zote za mwanzo alipokea kipigo cha maana toka kwa khan.khan anarusha jeb za fasta na kumkimbia.

Round ya 9 kama sio ya kumi, Maidana anamjaza ngumi nzito khan anapoteza mwelekeo. Kengele inamwokoa khani. Round ya 11 na 12 maidana anashinda zote.

Ila kwa ujumla kwa maoni yangu Khani alistahili huo ushindi.
 
Pambano langu bora kabisa la muda wote ni kati ya Mike Tyson na Jesse Ferguson la Mwaka 1986 ililofanyika NewYork, bonge la pambano ngumi zilipigwa balaa mwishowe Ferguson akasalimu amri raundi ya sita.
 
Canelo Vs GGG, mapambano yote mawili ni moto wa kuotea mbali, mikono inapigwa mule si mchezo
 
Maugo alifika round ya 7 akatoka uwanjani...akasema hamuoni mpinzani wake anapigana na hewa,anajikuta anapigwa tu hajui anaemshambulia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha
 
Pambano langu bora kabisa la muda wote ni kati ya Mike Tyson na Jesse Ferguson la Mwaka 1986 ililofanyika NewYork, bonge la pambano ngumi zilipigwa balaa mwishowe Ferguson akasalimu amri raundi ya sita.
Lile ambalo wanakumbatiana kila sekunde? Kiukweli ukitaka kuangalia mapambano ya ukweli ambayo mikono inapigwa na unapata burudani, no kushikana angalia mapambano ya uzito wa chini
 
Pambano langu bora kabisa la muda wote ni kati ya Mike Tyson na Jesse Ferguson la Mwaka 1986 ililofanyika NewYork, bonge la pambano ngumi zilipigwa balaa mwishowe Ferguson akasalimu amri raundi ya sita.

Kwani huyo Jesse Ferguson alifanya nini cha maana cha kukumbukwa ktk mpambano huo?
Mimi nakumbuka kama vile niliona vumbi tu toka kwa Jesse.
 
Thrilla in Manila, lilipigwa pambano ambalo ni kama ilikuwa mwisho wa dunia kwa mabondia wale. Yalirushwa makonde na ngumu za aina yake! Bado linabaki pambano bora kwa upande wangu
 
MIKE TYSON NA BRUNO FRANK? 😳😳😳😳😳 Hamna kitu pale kabisa.
 
Mkuu nimecheki Hilo pambano laatthyesse ve ruslan ni hatari ...


Haya mapambano mengine ni majina tu
 
Rashid matumla vs Joseph Marwa
. Only legends will get me!
 
Kwel Mkuu hili pambano ni hatari . R i p gatti
 
Mkuu Vip kuhusu Riddik bowe vs Evander
 
Mkuu Vip kuhusu Riddik bowe vs Evander
Bowe vs Holyfied ,was one of the best feuds in boxing . Japo nilitamani sana kuona nani mbabe kati ya Lenox na Bowe , waliwahi kuzichapa wakiwa wadogo kweny olimpic games.
 
Bowe vs Holyfied ,was one of the best feuds in boxing . Japo nilitamani sana kuona nani mbabe kati ya Lenox na Bowe , waliwahi kuzichapa wakiwa wadogo kweny olimpic games.
Kwel Mkuu huo mpambano ungekuwa wa hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…