Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Hii dunia imeshuhudia mabondia wengi mahiri na wenye uwezo mzuri wanapokuwa kwenye ring.
Tumeshuhudia mabondia kama Tyson, Holyfield, Lennox Lewis, na kona Forman kwenye uzito wa juu.
Kina Ray jones na wenzie kwenye uzito wa juu kati. Kisha uzito wa kati kina mywether jr, Pac, Canelo na kina GGG.
Nimeangalia pambano kati ya Khan na maidana, Canelo na GGG, mywether na pacman. Matthyesse na Ruslan. Mapambano yalikuwa moto.
Lakini kati ya pambano bora kwangu ni pambano la uzito wa kati, kati ya Arturo Gatti na Micky Ward. Hawa jamaa wamepigana mara tatu. Ward akishinda moja, Gatti akishinda moja na kutoa sare 1.
Huu mpambano wao ni balaa. Jamaa walipigana ngumi zisizo na idadi. Kila round ni moto.
Kwako pambano bora kabisa ni lipi?
Tumeshuhudia mabondia kama Tyson, Holyfield, Lennox Lewis, na kona Forman kwenye uzito wa juu.
Kina Ray jones na wenzie kwenye uzito wa juu kati. Kisha uzito wa kati kina mywether jr, Pac, Canelo na kina GGG.
Nimeangalia pambano kati ya Khan na maidana, Canelo na GGG, mywether na pacman. Matthyesse na Ruslan. Mapambano yalikuwa moto.
Lakini kati ya pambano bora kwangu ni pambano la uzito wa kati, kati ya Arturo Gatti na Micky Ward. Hawa jamaa wamepigana mara tatu. Ward akishinda moja, Gatti akishinda moja na kutoa sare 1.
Huu mpambano wao ni balaa. Jamaa walipigana ngumi zisizo na idadi. Kila round ni moto.
Kwako pambano bora kabisa ni lipi?