BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Dada msubiri mwokozi aje mana yeye sio sharobaro wala hana michepukoMimi ni girl miaka 24 model sio muongeaji sana, natafuta mwanaume wenye umri kati ya miaka 25-30 kwa ajili ya kubadilisha mawazo ikiwezekana kuwa mume, awe ameokoka, sitaki sharobaro.
Uliyetayari ukuje pm
[emoji2] [emoji2] [emoji2]nimeokoka lakini napenda kuzaa nje ya ndoa
unaishi wap?Mimi ni girl miaka 24 model sio muongeaji sana, natafuta mwanaume wenye umri kati ya miaka 25-30 kwa ajili ya kubadilisha mawazo ikiwezekana kuwa mume, awe ameokoka, sitaki sharobaro.
Uliyetayari ukuje pm