Nchi imechezewa sana. Mfano huwa najiuliza, shule za kata zililetwa kuongeza maarifa/elimu ipi? Kila jambo tunafanya kwa majaribio nchi hii.Maandamano hayatasaidia chochote bro. Hizi ni mind games, na power kubwa ipo kwenye number ya watu walioelimisha mind. Sasa kama tuna 15% educated/reasonable people, dont expect kupata results. Yani 75% ni kama robite au zombies ambao hawaelewi chochote kuhusu dunia. Ila wanachokijua ni wanachoweza kukiona na kukiexperience. Usitegemee. Never. Mpaka elimu itumike ndo watu wataweza ku reason.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Mfano, Dr. Salim Ahmed Salim, tulishindwaje kumfanya awe Rais wa Tz.Yu are right. Nilikua najaribu kuwaambia watu kua. Rushwa inaweza penya popote. Haijalishi katiba mmeibadilisha kiasi gani au hata katiba ikitoka mbinguni. Ila kuna michezo michafu mingi inaweza kuchezeshwa.
Nafikiri tunachohitaji ni pure wazalendo. Kuna kazi kubwa inatakiwa ifanyike kwenye maandalizi, especially tunahitaji watu ambao wako spiritual ambao wako motivated na legacy sio pesa.
Viongozi wengi wa africa ni wafanya biashara mkuu. Sio leaders
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Solution ya matatizo ya watamzania ipo kwenye mda na matukio. Vinginevyo tutapiga mayowe tu ambayo hayana effect yoyote kwa watawala.Mfano, Dr. Salim Ahmed Salim, tulishindwaje kumfanya awe Rais wa Tz.
Kuna maneno kwamba kundi la JK, lilimuundia tuhuma na kumuita HIZBU! Sijui maana yake, ila ni siasa za kuchafuana sana.
Juzi wkt Dr Salim anafikisha miaka 80, JK huyo huyo ka tweet kinafiki kwamba wametoka mbali. Hii nchi ina umafia sana
KabisaSolution ya matatizo ya watamzania ipo kwenye mda na matukio. Vinginevyo tutapiga mayowe tu ambayo hayana effect yoyote kwa watawala.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Sio wote mkuu....ni 'baadhi' tu waliosalia madarakani na bado wana ushawishi huko Ccm mpaka zama hizi.Mimi nikisema huwa nachukiwa na kuonekana mwendawazimu, lakini niwaambieni ndugu zangu: Hawa wazee wa Cold-War na Ujamaa ni watu hatari mno kwa mustabali na ustawi wa taifa letu. Hiki kizazi kimerivuruga sana hili taifa na kitaendelea kufanya wanachokitaka mpaka tutapoamua kuwatoa kinguvu. Bila hivyo tutapiga mbizi kwenye lami....
Bora basi wasiandaliwe kuliko hawa wanaoandaliwa na kuja na makundi yao badala ya kuwaongoza watanzaniaUnawapatia wapi? Kwa mfumo upi? Ulioandaliwa na nani? Unahusika vipi katika kuuandaa mfumo wa kumuandaa raisi?
Tusipende porojo nyepesi nyepesi.
Raisi wa nchi wa miaka 10 ijayo mfumo unamuandaa sasa. Wa sasa aliandaliwa miaka 10 iliyopita hata aliyepita kwa mgongo wa Kudra aliandaliwa kwa hiyo nafasi ndo maana akawa hapo.
Swali: Ni nini unachofanya sasa katika mfumo wa kuandaa viongozi kuhakikisha raisi ajaye analelewa kufuata matakwa yako?
Tena wanapanga hadharani bila aibu, mchana kweupe pee na watanzania hawana la kufanya....Ila aliyesimama asidhani yupo imara...Njia yao imejaa giza na utelezi mwingi, dhambi imewapofusha macho kiasi ambacho hawaoni mwisho wao ulivyo mbayaYani inakuwaje nchi ina watu wanapanga kufika juu ili wapige pesa?
Imedhihirika wazi this time...I guess siyo wajinga kihivyo, retreat is never surrender...Mimi naamini Mungu yupo, wakati usiotazamia things will turn arroundNafikiri Deep State yetu ni kama ipo kwenye majaribio, inachanganywa na inajikuta washaingia kingi na wanabaki kushangaa. Kiufupi HAITOSHI na haiogopwi na hao Boys 2 Men..
Bado tuna safari ndefu sana kama Taifa.Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Ngoja tusubiri tuoneTena wanapanga hadharani bila aibu, mchana kweupe pee na watanzania hawana la kufanya....Ila aliyesimama asidhani yupo imara...Njia yao imejaa giza na utelezi mwingi, dhambi imewapofusha macho kiasi ambacho hawaoni mwisho wao ulivyo mbaya
Hakuna jambo la kudumu linaloishi kwenye nchi BILA kuruhusiwa na Taasisi kubwa liwepo!!!Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
Bado wako na Mama TzHabari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.
WAMEIBANA KOO WAO NA WAZAZI NA MARAFIKI ZAOHabari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano gani kati "Boys 2 Men", na "CCM INA WENYEWE"?
Naomba tuongee kama Taifa la watanzania. Je, nchi hii inamilikiwa?
Tafadhali sana, tuweke makundi ya kisiasa pembeni.
Binafsi nilimponda sana JK, nikamponda sana JPM, na Sasa najiuliza nianze kumponda na Samia? Au kuna tatizo sehemu Mimi sijajua? Nitaponda wangapi?
Nchi hii ni maskini sana. Je, "Boys 2 Men" ndio watakaoipeleka mbele nchi yetu?
Naomba kuwasilisha.
Karibuni tujadili Tanzania yetu ipone na kupaa kimaendeleo.