Boys, boys!!!! why!!!!!!!!!!!!!

Boys, boys!!!! why!!!!!!!!!!!!!

Are you protecting this THREAD or you are protecting who??? If u are protecting hashy that is understandable

Babu aint protecting men. men protect themselves. Am protecting my darling mjukuu. OK?
 
Hashycool....damn majina mengine bana....Michelle wangu hakutabasamu kwa ajili ya ulichokiandika ila ni kwa sababu ya uwepo wangu.

have I made myselfl clear? Before I loose my temper!

Now...Michelle.......sema AMINA!

AMINA babu.......:clap2::clap2:
 
Sijambo wangu,habari yako binafsi??

Nakusalimia tu mama,
Nimekuona nikaona si uungwana nikikupita bila salaam!!!
Sitaki nichelewe, kwani KIJOGOO kinaweza kikakwazika hapa lol....!!!!!!
 
nature yetu nandani bila hiyo kusingekua na ndoa au tendo la ndoa yaani kama kutamani ni dhambi basi tuna dhambi nyingi sana hasa ile ya kutamani mke wa mtu
Kutamani ni dhambi kwa mujibu wa neno la Mungu yaani bible, Bwana Yesu alisema mtu atakayemuangalia mwanamke na kumtamani basi amekwisha kuzini naye moyoni, kwa hiyo ni dhambi kaka
 
Presence is more than just being there!

When a woman loves; She loves for real............ By being violent we-Men are doing the opposite
 
Hashycool....damn majina mengine bana....Michelle wangu hakutabasamu kwa ajili ya ulichokiandika ila ni kwa sababu ya uwepo wangu.

have I made myselfl clear? Before I loose my temper!

Now...Michelle.......sema AMINA!
Vere vere
 
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Michelle (Today)​

Kama kawaida.......Dawa ya moto ni moto! Mjukuu akitoa, babu anatoa kubwa zaidi....

The Following User Says Thank You to Michelle For This Useful Post:

Asprin (Today)
 
Ukweli wa Mungu,nakupenda na nakukubali Marytina,i like your brain......big up yourself....usiwe unapotea,mi nakukosa kwenye thread ka hizi
hi Michelle! huwa nazionaga hizi thread najificha as naona kama niliwakwazaga wanajamvi kwa ile sredi yangu.By this time naongea kimasai kwa 4/10.
 
Back
Top Bottom