Boyz 2 Men wametia timu??

Boyz 2 Men wametia timu??

BabaDesi

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2007
Posts
6,122
Reaction score
4,060
Mpaka jana usiku Jamaa walikuwa hawajatia timu na tukaambiwa kuwa wangefika leo asubuhi. Wenye taarifa watujuze, Boyz To Men wametia timu Bongo ama wamechomoa na watu wanataka kuvuna wasipopanda???
 
Pesa zetu tutrudishiwa au ndi tushaliwa?????????
Kwenu waandaji!!!!
Cluods tunaomba n show zenu zisiwe kama hawa wahuni
....tetesi kwamba wamepatwa na malaria gafula!!!duh
haya yetu macho
 
Back
Top Bottom