Nimeumwa na kichwa mpaka nikadondoka. Kucheck nikakutwa na vp ya 170/120. Nikapewa dawa ya kushusha lakini kesho yake nikapima 199/128. Nikabadilishiwa dawa, Leo nimepima 175/113. Mbali na ile ya kuanguka, sijikii vibaya lakini vipimo vinaonyesha hali yangu si nzuri jiata kidogo. Naombeni msaada WA tiba na mawazo
Mi BP yangu ni 160/100 na niko hivyo siku zote. Nikipewa dawa ya kushuka ili iwe normal uwa najisikia vibaya sana. Nilishachukulia normal yangu kuwa hiyo hiyo.
Vitunguu Saumu havina madhara kwa mwenye vidonda vya tumbo.Vitunguu swaumu havina madhara kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo.
Nimeumwa na kichwa mpaka nikadondoka. Kucheck nikakutwa na vp ya 170/120. Nikapewa dawa ya kushusha lakini kesho yake nikapima 199/128. Nikabadilishiwa dawa, Leo nimepima 175/113. Mbali na ile ya kuanguka, sijikii vibaya lakini vipimo vinaonyesha hali yangu si nzuri jiata kidogo. Naombeni msaada WA tiba na mawazo
Mi BP yangu ni 160/100 na niko hivyo siku zote. Nikipewa dawa ya kushuka ili iwe normal uwa najisikia vibaya sana. Nilishachukulia normal yangu kuwa hiyo hiyo.
Vitunguu Saumu havina madhara kwa mwenye vidonda vya tumbo.
Ukisha maliza kula Kiitunguu Saumu kula kipande kidogo cha tangawizi mbichi au kula hiliki au kunywa maji mengi au kula karafuu japo punje 5 itakata harufu ya kitunguu saumu AsamwaUkitafuna vitunguu swaumu huwa vinaacha harufu kali sana mdomoni.
Kuna jinsi ya kuthibiti ukali wa harufu?
Ukisha maliza kula Kiitunguu Saumu kula kipande kidogo cha tangawizi mbichi au kula hiliki au kunywa maji mengi au kula karafuu japo punje 5 itakata harufu ya kitunguu saumu Asamwa
Kama ulikuwa unaona shida ya kutumia Kitunguu Saumu kwa ajili ya harufu bora utumie dawa zenu za kizungu za hospitali hazina harufuila zina madhara makubwa baadae.Mkuu MziziMkavu nakushukuru sana!
Nilikuwa naona shida kutumia vitunguu swaumu mchana lakini kwa kuzingatia ushauri wako nadhani itakuwa hakuna shida!
Normal BP ni ngapi?
Ukitafuna vitunguu swaumu huwa vinaacha harufu kali sana mdomoni.
Kuna jinsi ya kuthibiti ukali wa harufu?