BP-Hatari

Mimi huwa nachukua punje 2 za hivyo vitunguu navimenya then badala ya kuvitafuta navimeza kama vidonge na maji ili kuepusha hiyo harufu kali mdomoni. Huwa napendelea vile vidogo dogo (ambavyo ni vikali kweli!!) siyo haya makubwa/yeboyebo.

Asante mkuu IROKOS kwa kutushirikisha uzoefu wako. Utanisaidia mimi pamoja na wengine pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…