Brain za Prison Break

Scofield ni kichwa., but T-BAG kaipendezesha ile kitu..!!
you are right, unajua T-Bag ndo anaanzishaga matukio mengi sana ya kumuumiza kichwa scofield...jamaa ni brain ile mbaya,na ni kazi sana kumfix
 
Scoflield alikuwa kama actor Mkuu na alicheza vizuri, lakini TBAG ndio aliyecheza vizuri zaidi kwenye nafasi yake, scene almost zote alizocheza zilikuwa zinauhalisia zaidi ya hata zile za Michael

Hili neno nimelisikia sana bongo, especially kenye movies za Tanzania, mara nyingi kama mtu akilia au akifoka wanasema ameonyesha uhalisia, hivi maana yake ni nini hasa?..
 
me namkubali yule jamaa alomkata mkono t bag
 
Allex mahone ndiye mwisho wa matatizo aliweza kusoma michezo yote ya michael s..
 
Ndugu Mbimbinho, hakua dhamira yangu, kuwafanya wanajukwaa kama vilaza, ila jambo nilikuwa najaribu kusisitiza ni ulichokisema wewe yaani "kumatchisha characters na uhalisia wake" kitu ambacho, huwafanya characters wafanikiwe kwa kiasi kikubwa katika movie wanazotoa. Ila sasa si kila character anaweza ku-match na uhallisia na hapa linakuja swala la kipaji na education background, Mfano Ray au Kanumba wote si ni waigizaji na wato husema au husemwa kama ni watu wenye vipaji ila kuna baadhi ya scene ukimpa hawezi kucheza na ata akizicheza haziwezi vutia sana...mathali, wampe Kanumba sehemu aliocheza Scofield, hata kama hiyo movie itakua ni ya Kiswahili hakita toka kitu kama alicho kitoa Scofield, utofauti mkubwa hapa ikiwa Shule za hawa wawili, na hapa kwenye shule hasa kwa waigizaji wa Nyumbani ndipo ninapo sisitiza (Ila kuna aina nyingi vilevile ya Kujielimisha si lazima sana uingie darasani) unaweza ukaamua kujiendeleza out of the class na bado ukawa very knowledgeable, kiasi ukiongea na mtu akakiri unavijua vitu vingi na unajua namna ya kujieleza kitu ambacho ni silaha kubwa kwenye industry nzima ya filamu
 
Vijana wanstaili pongezi as wamejipanga vizuri sana ila ili jina la tea bag huwa linaniacha hoi sana
 
Aaaaaaah T-bag mkali mkuu aibu.

I'm all the laws of karma come down wrong - T-bag

 
duh nashindwa kabisa kuamua kati ya alexander mahone na T-Bag.....Ila nadhani Mahone alikua juu kidogo...no T-bag dah hapana looh
hii kitu ni ngumu kuamua asee...ila wote waliuvaa uhusika 100% yaani ni mshike mshike
 


Mkuu hebu google tena C.V ya Michael huyu jamaa ni engeneer kweli na ana award kama mbili hivi za engeneering with a GPA of 3.8.Huyu jamaa sio kiuigiza tu ni kichwa kweli
 
Kama ninavyolionaga hilo likitu kwamba limekaa kiume kiume ndio ninavyohisi humu wamechangia wanaume tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…