Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Ahsante chief,.tatizo mafundi wetu uchwara wanakuza tatizo mpaka unaona bora uliache kwa muda...Master cylinder itakuwa inashida mara nyingi raba zake zikiisha inatokea hivyo tafuta mafundi wazuri wapo watakusaidia hilo ni tatizo dogo sana
Mafundi uchwara tatizo likiwa dogo watajifanya daaah!!! Aisee!!! Daah!!! Em ngoja kwanza!!!! Ataingia chini ya uvungu na hapa na pale na kijasho kinamtoka huku mwenye chombo unasema kwa tatizo hili niandae 50k hapa.kumbe ni jambo la kufanyiwa bure tu kulipa ihsani.Ahsante chief,.tatizo mafundi wetu uchwara wanakuza tatizo mpaka unaona bora uliache kwa muda...
Ahsante kwa ushauri.
Hahahah me nishaambiwa hapa tatizo dogo hilo,.sasa ole nikaambiwe bei za ajabu,.ntapanda daladala tuu kwakweli kwani shin'ngapi😃😃Mafundi uchwara tatizo likiwa dogo watajifanya daaah!!! Aisee!!! Daah!!! Em ngoja kwanza!!!! Ataingia chini ya uvungu na hapa na pale na kijasho kinamtoka huku mwenye chombo unasema kwa tatizo hili niandae 50k hapa.kumbe ni jambo la kufanyiwa bure tu kulipa ihsani.
Ila sina gari hivyo napita kimya kimya tu mother.tusubiri wajuvi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsanteni jamanii,.hapa napata hata nguvu ya kumtishia fundi kuwa najua tatizo lilipo😃 maana nilikuwa sijui A wala Z angenidanganya chochote ningekubali tuu..Piston za zinajaamu,peleka kwa fundi afungue matairi aangalie wheel cylinder,ina maana ukikanyaga break ukiachia piston hazirudi so zinasababisha hilo joto
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam,..tafadhali Moderator badilisheni heading ya BREAK ni typing errorMwanzisha uzi nadhani ulikusudia kuandika BRAKE na siyo BREAK hayo ni maneno mawili yenye maana tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuona hii...daah😂😂😂😂😂😂Mkuu... mimi sina la kukushauri, lakini naomba nikupongeze kwa kumiliki mkebe in town....
Sikuona hii...daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahah jomoniii mkebe wenyewe ndio huo unawaka moto😂😂😂Naomba unipokee na mkebe pale Ubungo siku nikikuja Daslam...
Mkuu, najua utanifanyia wepesi...[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahahah jomoniii mkebe wenyewe ndio huo unawaka moto[emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta fundi/gerage moja tu ambayo utakuwa unatengeneza gari yako hapo itakuwa rahisi kufahamika na sometimes itakuwa ngumu kukupiga bei...Ahsante chief,.tatizo mafundi wetu uchwara wanakuza tatizo mpaka unaona bora uliache kwa muda...
Ahsante kwa ushauri.
Piston za zinajaamu,peleka kwa fundi afungue matairi aangalie wheel cylinder,ina maana ukikanyaga break ukiachia piston hazirudi so zinasababisha hilo joto
Sent using Jamii Forums mobile app
We unataka tulipukiwe,.tutapanda bajaji tuu😎Tukiumwagia maji, siutapoa....!!??[emoji46][emoji46]
Nitafanya hivyo,.ahsante sana👏Tafuta fundi/gerage moja tu ambayo utakuwa unatengeneza gari yako hapo itakuwa rahisi kufahamika na sometimes itakuwa ngumu kukupiga bei...
Nakushauri acha kutumia hizi brake fluid za 2000/= ni mabovu mno mafuta haya yanasababisha raba kwenye cylinder kuungua na zinakatika baada ya muda mfupi