Brand gani ya jiko la gesi nzuri?

Brand gani ya jiko la gesi nzuri?

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
8,130
Reaction score
8,362
Wadau samahani,

Nauliza ni jiko lipi la gesi ambalo kioo chake hakivunjiki na kuchoma gesi vizuri. Nauliza hili because jiko langu nililonunua mwaka jana limevunjika kioo hivi karibuni na kidogo tujifiche chini ya uvungu kwa kuzani ni majambazi ya Vikindu yamehakia nyumbani kwangu, kwani lilitoa mlipuko mkubwa na kupasuka pasuka kioo na kubaki chengachenga zilizosambaa jiko zima.

Kwa wenye kufahamu brands watujuze.
 
Mwanaume wa Dar unadhani ukijificha chini ya uvungu ndo majambazi hayatakuona? kujificha huko ni common sana nakushauri siku wakija vaa wigi na gauni watakusamehe wakidhani demu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wadau samahani...nauliza ni jiko lipi la gesi ambalo kioo chake hakivunjiki na kuchoma gesi vizuri...nauliza hili because jiko langu nililonunua mwaka jana limevunjika kioo hivi karibuni na kidogo tujifiche chini ya uvungu kwa kuzani ni majambazi ya Vikindu yamehakia nyumbani kwangu...kwani lilitoa mlipuko mkubwa na kupasuka pasuka kioo na kubaki chengachenga zilizosambaa jiko zima...kwa wenye kufahamu brands watujuze...
Tukio lilitokea wakati unapika au??. Jikoblako ni aina gani?. Jaribu HITACH au ZEC. Tsh. 120,000.
 
Mwanaume wa Dar unadhani ukijificha chini ya uvungu ndo majambazi hayatakuona? kujificha huko ni common sana nakushauri siku wakija vaa wigi na gauni watakusamehe wakidhani demu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nashukuru kwa ushauri mkuu
 
Mwanaume wa Dar unadhani ukijificha chini ya uvungu ndo majambazi hayatakuona? kujificha huko ni common sana nakushauri siku wakija vaa wigi na gauni watakusamehe wakidhani demu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ingekuwa kwetu huku.. Hyo version ingesomeka...

"Nlivyoskia mlipuko.. Nkavuta jambia fasta.. Nkachomoka na mkuki.. Tayari kwa kusambartsha mtu.. Daah Kumbe jiko limezingua ..likankata stimu knouma "
 
Mijanaume ya Dar inaboa kinoma noma
Ndo inayowapangia kila kitu nyie wa mikoani huko, tatzo wa mikoani mnadhani kuwa mwanaume lazima uwe miguvu kama simba... what we have ni akili za kutuongoza maishani mwetu nyie na hyo miguvu yenu mtabaki kulinda mageti yetu sie mnaotuita waoga tumelala ndani tuliiii
 
Ingekuwa kwetu huku.. Hyo version ingesomeka...

"Nlivyoskia mlipuko.. Nkavuta jambia fasta.. Nkachomoka na mkuki.. Tayari kwa kusambartsha mtu.. Daah Kumbe jiko limezingua ..likankata stimu knouma "
Jambia halitakusaidia mkuu if watu wamekuja na manati ya mzungu..usije ukamake hyo mistake tena...
 
Tuna jiko la Gesi lunatoa Moshi hatari, sufuria zote zimechafuka na Moshi ni bora hata kupika jiko la Mkaa, Tatizo lake hata Sijuih Kwa mwenyewe uelewa wa ili Tatizo anasaidia.
 
Tuna jiko la Gesi lunatoa Moshi hatari, sufuria zote zimechafunga na Moshi ni bora hata kupika jiko la Mkaa, Tatizo lake hata Sijuih Kwa mwenyewe uelewa wa ili Tatizo anasaidia.
Ata hilo lililopasuka likikuwa na hyo tabia..nmerekebisha kule chini wapiiii
 
Back
Top Bottom