Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Habari zenu wadau
Nimekuja kwenu ili nipate msaada nipate Tshirt plain hasa nyeupe ambazo nitazitumia kuprint tangazo kwa ya biashara yangu
Mara ya kwanza nilichukua Hot basic manga sababu ni bei rahisi nilinunua nyingi nikaziprint nyingi nikagawia watu baada ya muda mafupi naona Tshirt zile zimepauka sana hazitamaniki
Kwa sasa nataka nipate T-shirt chache ila ziwe na ubora nawakaribisha wenye uzoefu hasa wakufanya printing
Nimekuja kwenu ili nipate msaada nipate Tshirt plain hasa nyeupe ambazo nitazitumia kuprint tangazo kwa ya biashara yangu
Mara ya kwanza nilichukua Hot basic manga sababu ni bei rahisi nilinunua nyingi nikaziprint nyingi nikagawia watu baada ya muda mafupi naona Tshirt zile zimepauka sana hazitamaniki
Kwa sasa nataka nipate T-shirt chache ila ziwe na ubora nawakaribisha wenye uzoefu hasa wakufanya printing