CYTON TECH
Member
- Jan 23, 2019
- 40
- 21
Check Model Namba Boss huna haja ya Picha Product n Brand New.Photo?
Check Model Namba Boss huna haja ya Picha Product n Brand New.
Hakuna Picha iliyo Tumwa hapo Wala Bei. Model Number na Specification ndio zilizo tumwa kwa Wanao elewa wamewekewa Contact. Nyie wengine subirini kazi za Udalali.Duh aisee imepauka kiaina,halafu kwa hio Bei yako ya mil 8 hapo umetudanganya boss.Uko chini Sana angalau kuanzia 10m utakua sawa hapo.
Rangi yenyewe naona imepauka kimtindo kwny hio picha,fanya kuiongeza Bei mpk 10m boss.Hakuna Picha iliyo Tumwa hapo Wala Bei. Model Number na Specification ndio zilizo tumwa kwa Wanao elewa wamewekewa Contact. Nyie wengine subirini kazi za Udalali.
Bei kubwa sana mkuu.Daaaah rangi yenyewe sasa.Duh aisee imepauka kiaina,halafu kwa hio Bei yako ya mil 8 hapo umetudanganya boss.Uko chini Sana angalau kuanzia 10m utakua sawa hapo.
Cisco Products haziuzwi kwa Rangi. Kwa Jina Unalotumia la Wa Kupuliza Nunua Rangi unayo itaka Utaipuluzia tu bila shaka.Rangi yenyewe naona imepauka kimtindo kwny hio picha,fanya kuiongeza Bei mpk 10m boss.
Sasa huku inbox mbona unasema Ni mil 9.5 Tena?kua consistency mkuuCisco Products haziuzwi kwa Rangi. Kwa Jina Unalotumia la Wa Kupuliza Nunua Rangi unayo itaka Utaipuluzia tu bila shaka.
Screen Short Sms Tulizo chat include na namba niliyo iweka hapo utume hapa yawezekana Umekutana na matapeli au unalengo lingine na hiyo post.Sasa huku inbox mbona unasema Ni mil 9.5 Tena?kua consistency mkuu
Check Model Namba Boss huna haja ya Picha Product n Brand New.
Hairuhusiwi,Sheria za JF na Miongozo yake ipo wazi.Screen Short Sms Tulizo chat include na namba niliyo iweka hapo utume hapa
Wanachomaanisha hao tangazo lako halijakamilika kuna vigezo hujakamilishaScreen Short Sms Tulizo chat include na namba niliyo iweka hapo utume hapa yawezekana Umekutana na matapeli au unalengo lingine na hiyo post.
Huyo aliye Sema tumechat nae na amesema picha Zimepauka ndio niliye mwambia atume izo screen short na picha alizo tumiwa. Kwenye Tangazo tumetoa Model Number ya Product na Namba ya Simu tu Hatuja Post Picha.Tangazo lako halitoboi Asubuhi ya kesho kama unabisha ngoja nimuite kiranja wa Zamu Moderator, Msikie kijana anasema tuangalie model number ndio ina picha
,πππ Lofa huyo haelewi vitu vidogo vidogo kama hivi,labda akafanye biashara na mazuzu.Wanachomaanisha hao tangazo lako halijakamilika kuna vigezo hujakamilisha
Naona umenipunguzia tena mpk 9.3mil ,fanya 10mil biashara ikamilike leo hii hii usiku boss wanguHuyo aliye Sema tumechat nae na amesema picha Zimepauka ndio niliye mwambia atume izo screen short na picha alizo tumiwa. Kwenye Tangazo tumetoa Model Number ya Product na Namba ya Simu tu Hatuja Post Picha.
Tangazo linajieleza na Namba za Simu tumeweka kwa Ufafanuzi. Product Model Number imewekwa na imesha Elezwa kuwa n Brand New. Kuna Raia kaja Kasema alichati inbox akapewa picha na Bei ndio huyo nikamwambia atume Screen short ya namba sms aliyo chati. Tuanzie hapo.Wanachomaanisha hao tangazo lako halijakamilika kuna vigezo hujakamilisha