SOLD: Brand New External Hard Disks

SOLD: Brand New External Hard Disks

Status
Not open for further replies.
Get Brand New Externsl Hard Disks
Transcend (1000GB) tsh.195,000/=
Toshiba (1000GB) tsh.195,000/=
Buy one and get*
500 movies*
50 series*
10 PC Games*
60music albums*
call/text/whatsapp 0689341445
 
.........................................
 
STILL AVAILVABLE ZIMEBAKI CHACHE WAHI YAKO SASA
 
Movies zipo Ila nyimbo mm sikuziona so siwezi kuafiki
 
Pia anauza kwa uogo kidogo sijajua ni kwann labda atoe maelezo mazuri
 
Movies zipo Ila nyimbo mm sikuziona so siwezi kuafiki
Sijawahi ona mteja aaelalamika kama wewe........unataka external ya 500GB unataka kwenye hiyo hiyo 500gb upate movie 500.....series 60 na music hiyo ni kwa watu wa 1TB na nilikwambia hivyo sasa sijui unalalamika nn?
Pia anauza kwa uogo kidogo sijajua ni kwann labda atoe maelezo mazuri
Hapa sijakuelewa kabisa.....nafanya distribution ya hard disk hadi wizaran,kwenye mahotel maarufu kama kempinski.....I really dont know what u are talking about
 
Samahani naomba kutoa mrejesho upya ili niweze kueleweka Vema kwa KILA mtu hapa JF.
Wiki iliyopita jumapili nilipitia post ya kijana Olympus akieleza kwamba anauza external hard disks mpya Tracent kwa bei tofauti tofauti kukinga a na uko was wa external yenyewe.

Nilitoa mawasiliano hapa kwa maana ya kutaka kupatitiwa moja wapo ya GB 500 nikawa nadhani nitaona vitu vifuatavyo Kama alivyokua dai.
- movies kiasi
-Songs albam kiasi
-Pc games kiasi
Baada ya kutoa namba yangu muda kidogo nikapigiwa sm na kuulizwa nanukuu ' Mambo, ww ndie ulie kua ukihitaji external ? Nikajibu NDIO ' mwisho wa kunukuu. Baada ya hapo nikaendelea kuwasiliana nae namna ya kumpata, na kwa kua nilikua Udsm pale haikus shida NIKATEULIWA fedha BENK na kumuwahi OLYMPUS pale ubungo maji aliposema anapatikana. Kabla ya hapo nilimuuliza UNA OFISI akasema hapana, nikamweleza basi ngoja nifike hapo ili ni joined mwenyewe mazingira ya biashara.Nilikodi pikipiki mpaka energy husika nikapigia simu nikawa eneo alilotamka ningemkuta akanieleza anakuja, nilisubiri kwa muda Kama dk 35-40 sikuona mtu akitokeza basi nikawa NADHANI labda SIO sehemu aliyo nieleza baada ya Dakika kidogo akapita kijana pale nilipokua nimesimama hapo ni pale wanapo Uza mapipa ya maji mwisho wa fensi ya tanesco, nikawa nimeamua kuondoka pale nikapanda Kama naelekea kanisa la ufufuo na uzima, mala simu inaita mfukoni kuitazama ni ya MUUAJI wa external akanieleza KUWA yupo kwenye lie fensi ya songas tanesco nikamweleza nilikuapo hapo nimekaa kwa muda hajatokea nikamwambia nakuja, yaani narudi pale maeneo ya fensi HUKU nikimweleza kua basi arudi Nae Nyuma kidogo ili tukutane pale kwenye geti ambapo awali nilimkuta akitoka Nisijue ni yy akakaataa akasema nice design mpaka alipo nilimfuata na kumkuta muuzaji.
Nilifanya yafuatayo
1. Niliikagua external hard disc KWA KWELI ILIKUA MPYA
2. Nikamuuliza risit au nyaraka za Manunuzi HAKUWANAZO
3. NIlimuuliza vip ikiwa mbovu au ikanisumbua akasema NIMWAMINI KWA KUA ASHA WAUZIA WENGI ILA HAZIJAWASUMBUA NA KAMA ITASUMBUA NIMPIGIE AU HATA NIJE HAPA JF NILALAMIKE nikasema basi sawa.
4. Tulifanya biashara Ile akiwa ni Kama mtu anae ogopa jambo na dalili hii nilihisi tangu nilipo mwambia tukutane pale sehemu amabyo kwanza ndipo alitokea karibu na geti LAKINI alikata kana kwamba hakutaka mtu ashuhudie biashara yoyote amefanya mm nikanyamaza.


BAADA YA KUFIKA NYUMBANI
Niliichunguza na kuto on a file za album za nyimbo nikamwandikia SMS hii nanukuu' NYIMBO HIZO ZIPO?' mwisho wa kunukuu akajibu nanukuu ' ANGALIA' mwisho wa kunukuu. Niliangalia lakini sikuzipata nikamwambia HAKUNA akajibu space Isinge tosha.
Nikajiuliza maswali kadhaa
1. Inamaana hajaweka yy vitu vilivyokua NDANI ya external
2. Inamaa hakuitizama kuhakiki hatakama hakuweka yy
3. Ni Wakala wa mtu Fulani anapata commission labda baada ya kuuza.
Ila nilimeleza kwamba EXTRNAL HII HAINA SHIDAH KABISA HAIJANISUMBUA. akanieleza basi niweke POSTIVE FEEDBACK HAPA JF
Nikaeleza namna biashara ilivyofanyika ili,KILA mtu ajar hilo maaana katika biashara kunapotokea KITU ukauziwa Hakina vilivyo tajwa ni batili basi nikaeleza namna biashara iliyofanyika kwa ufupi saaana.

LEO JUMAPILI
Nikiwa na shughuli zangu simu yangu niliacha mahala baadae nilipo itizama nikawa naona missed call ya Yule JAMAA Allie niuzia external yaani kwa Sasa ni OLYMPUS nikadhani anafuatilia anipe labda NYARAKA ZA MANUNUZI NA KAMA INAFANYA KAZI
cha ajabu haikua Kama nilivyofhani
Amenipigia akinilalamikia kwa nn nasema ALIKUA Kama mwenye mashaka na GB 500 isingetosha vyote alivyo vitaja. Nikamweleza hata ingkua 1000GB isingetosha KILA KITU ilitakiwa aweke kwa kiasi TU , kwa Sababu hata movies alizo weka humu SIO zote nazipenda hivyo angeweka chache. Yametokea mabishano makali saana yasiyo na tija name nikamweleza Hivi , Dogo subiri nikueleze LAKINI akasema kwanza nisimkosee heshima yy SIO Dogo kwa umri OLYMPUS namzidi , bila sha na KIELIMU namzidi sina uhakika kiuchumi LAKINI akafoka sana. Nikamweleza kua naleta taarifa hapa ili wana JF wengine watakao fanya biashara na ww Wawe wakifahamu HAYA kwa maana njema.
Anasema katika thread YAKE pale JUU anafanya distribution ya hard disc Hadi wizarani, KWENYE MAHOTEL MAKUBWA Kama KEMPINSK sijui Kama huwa wanafanya purchase bila hata risit na kwa namna ambayo mm na yy tulifanya. Kwa sababu hata kuna wadau Ofisini kwetu walihitaji ila nilitaka kumuunganisha nao Ila awe na risit za kuwapa kwa kua ni muhimu kupata risit na inanunua OFISI hivyo RISITI ni jambo mhimu.

Nakushukuru Olympus mpaka SASA sijapata usumbufu Nayo Ila yawezekana unazipata kwa njia isiyo ya uazi NDIO maana labda biashara ilifanyika hivyo


Narejesha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom