Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Hizo picha ya tatu kutoka juu ni sh ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi cardets na Jeans usinunue zaidi ya 25,000 over
Hapana ile ya tshirt mikono mirefu kama sweta hvHiii mkuuu??
View attachment 1441563
Mkuu hizi jeans bei ya kuuza ngapi?Kwa sasa tuna aina hizi mkuu
Bei ni 55,000 tzs
Karibu,
Calls/Whatsapp 55,000 tzsView attachment 1440670View attachment 1440671View attachment 1440672View attachment 1440674View attachment 1440675View attachment 1440676
Sent using Jamii Forums mobile app
mason denimHabari wana JF.
BJB Men's Wear (online shop), tunakuletea brands mbalimbali za nguo za kijanja, original kwa bei nafuu.
Brands zilizopo ni pamoja na
Cadets: VICOBSS, MRXMUSS DUTT/MASSIMO DUTT, TOMS FROD, SULAGE & SODA, MONCLER n.k
T-Shirts (form 6): BURBERY, MAGIC JAMES, MOSIWEIER n.k
Shirts: ELEGANCE, KEVIN COLE, ARROW, LOENSEE, BURBERY, POLO n.k.
Bei kwa cadets inaanzzia 40,000 to 55,000 tzs
T-Shirts/Shirts from 30,000 to 45,000 tzs.
Tupo Dar Es Salaam, pia tunatuma mzigo mikoani.
Calls/Whatsapp: +255 738 589 389
View attachment 1441079View attachment 1441079View attachment 1441080View attachment 1441081View attachment 1441082View attachment 1441083View attachment 1441084View attachment 1441087View attachment 1441089
Hapo ndio utachoka. Maduka ya Jumla kwa kariakoo cadets ni 15 hadi 20 mtu anauza 55?Hawa jamaa wa online bussiness wanatamaa sana ya hela hiyo Jeans ya elfu 50 ina nini kwanini mnapenda super normal profit yani wewe unanunua kwa elfu 20 unauza mara mbili yake stupid