INAUZWA Brands quality cadets, shirts and t-shirts

V-neck sweater ya Kijivu + Cadets ya rangi ya vermilion,brand moncler [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].Lipia 80,000 kwa zote mbili badala ya 90,000

Calls/Whatsapp : +255 624 366 385 389
 
[emoji154][emoji154][emoji158][emoji158]Wadau mmeikubali hiii combination [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

V-Neck Sweater + Cadet

(Rangi mbalimbali)

Lipia 80,000 [emoji3581][emoji3581][emoji3581]kwa zote mbili badala ya 90,000
 
Hapana ile ya tshirt mikono mirefu kama sweta hv
Long Sleeve Emporia Arman 4m 6 = 40,000

V neck sweater = 40,000

Karibu Mkuu

Calls/Whatsapp ; 0624 366 385
 
Form 6 plain, top quality
 
Ila kuna hizi,bado na nyingine nyingi, quality ile ileeee

 
mason denim
nimetokea kuipenda sana hii brand
 
mason denim
nimetokea kuipenda sana hii brand
Jamaaa hawakosei, kila sehemu motooo, t-shirt motooo, jeans motoo,cadet ndo nyumbani [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji119][emoji119][emoji119]Thanks for feedback mdau.

Ameupata mzigo wake mapemaaaa
 
Dannar Honnor long sleeve dermin shirt + Long Sleeve Emporio Armani Form 6
65,000 kwa mbili badala ya 75,000
 
Hawa jamaa wa online bussiness wanatamaa sana ya hela hiyo Jeans ya elfu 50 ina nini kwanini mnapenda super normal profit yani wewe unanunua kwa elfu 20 unauza mara mbili yake stupid
Hapo ndio utachoka. Maduka ya Jumla kwa kariakoo cadets ni 15 hadi 20 mtu anauza 55?

Neio maana vinana wengi hii biashara ya nguo hua haikai muda inakufa sababu ya kutaka bei kubwa sana.

Staff jeans 50? Wakati zinauzwa 20 hadi 25 hapa Dar? Mbona balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…