ability123
Member
- Aug 29, 2017
- 10
- 1
Tatzo hakuwa kibiashara ila kujitangaza jina, unajua hata kuchagua brand inahitaj uelewa mpana sana, biashara znafail sana kutokana na brand names.mimi nadhani hata jina lenyewe lilichangia biashara kufeli
maji yaitwe jaydee kweli!!!!
Zamani niliwahi kujua una akili kumbe nilikoseaChadema
Bila kusahau TRITELMtandao wa simu wa smart
Wewe ni muhenga mkuuONGA mchuzi mix imefunikwa na ROYCO mchuzi mix
TANBOND imefunikwa na BLUE BAND
Viberity vile vya Moshi sivioni navyo siku hizi
Sabuni za Mbuni, Kanga na Komoa nazo zimepotea
[emoji15] [emoji41] [emoji56] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe ni muhenga mkuu
Mobitel si ndio hawa jaza ujazwe, walibadili jina 2006 hv kama sijakosea,cowbell mpaka leo yapo tena saa hv wanapaki mpaka kilo na zaidi achilia mbali vile vya mia mia.Mobitel,
Maziwa ya Cowbell,
Uhuru gazeti,
Fbme bank
Juice cola ipo nyingi tu kila mahaliHello
Inasemekana out of 10 new businesses 9 of them fail within their first year, kwa kauchunguz kangu hizi ndo brands/bidhaa zilizokuwepo hapa tanzania lakini sasa hivi hazipo tena sokoni, au hata kama zipo ni kwa uchache sana
1)Sabuni ya tesa ultra
2)Sabuni ya revola
3)Dawa ya meno ya "Aha"
4)Gazeti la Taifa Letu
5) Gazeti kama sema usikike, acha umbeya, lete raha
6)Lotion ya jambo
7) Product ya jusi cola ile ya unga
8)Soda ya mirinda na jay dee drinking water
Kama nimekosea mahali naomba nirekebishwe na kama kuna product zingine zilizofeligi naomba zitajwe na tu-discuss sababu ya biashara/brand kufeli ni nini?
duh kumbe yeye ni msikivu akawaelewa wananchi
Chadema