HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Mengi aliyoyasema Magufuli mwanzoni kabisa kuhusiana na COVID-19 ndio tunakuja kuyasikia hivi sasa.
Na cha ajabu sisi tunaotegemea vyombo vya habari vya wamagharibi walikuwa hawamuongelei Magufuli hata kidogo.
Alipokufa ndio wakajifanya kutangaza eti COVID-19 ndio iliyomuondoa, baada ya hapo hawakutaka kabisa kumuongelea.
Magufuli aliwanyima amani kutokana na msimamo wake dhidi ya COVID-19
Na cha ajabu sisi tunaotegemea vyombo vya habari vya wamagharibi walikuwa hawamuongelei Magufuli hata kidogo.
Alipokufa ndio wakajifanya kutangaza eti COVID-19 ndio iliyomuondoa, baada ya hapo hawakutaka kabisa kumuongelea.
Magufuli aliwanyima amani kutokana na msimamo wake dhidi ya COVID-19