Brazil imechoka na corona, imeamua kufungua kila kitu ikiwemo shule, migahawa nk

Mengi aliyoyasema Magufuli mwanzoni kabisa kuhusiana na COVID-19 ndio tunakuja kuyasikia hivi sasa.

Na cha ajabu sisi tunaotegemea vyombo vya habari vya wamagharibi walikuwa hawamuongelei Magufuli hata kidogo.

Alipokufa ndio wakajifanya kutangaza eti COVID-19 ndio iliyomuondoa, baada ya hapo hawakutaka kabisa kumuongelea.

Magufuli aliwanyima amani kutokana na msimamo wake dhidi ya COVID-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…