Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
Africa ina onewa sana na marefaa aise. Var itatumika kiushahidi tuKama tutaacha makosa yakiafrika kwenye kandanda uwanjani Afrika mwaka wetu Senegal lazima ichukue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Africa ina onewa sana na marefaa aise. Var itatumika kiushahidi tuKama tutaacha makosa yakiafrika kwenye kandanda uwanjani Afrika mwaka wetu Senegal lazima ichukue
Argentina
Amka toka usingizini
Mimi kwa upande wa Afrika nipo na Cameroon.
Huko ulaya nipo England, huko america nipo Brazil
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Hawezi.
Unakumbuka hata mwaka 2018 watu hawakuipa sana credit Croatia.
Ila ile penati ya France, iliwatoa sana jamaa mchezoni
Hicho sicho kipimo kwani kwenye mechi za mtoano anaweza akafungwa na yeyote na ikawa kwa heri maanake hiyo waga ni mechi moja tu.WAZEE WA SAMBA BALL ,Ni miaka 20 iliyopita tokea brazil itwae kombe la dunia kwenye ardhi ya japan na korea ikiwa na nyota pendwa Ronaldo de lima,rivaldo,cafu,zee la mashuti Roberto Carlos,dida,gilbeto silva,bila kumsahau ronaldinho gaucho,hakika brazil ni taifa lililojaliwa vipaji lukuki vya soka toka soka linaanzishwa,kwa miaka za hivi karibuni brazil imekuwa ikifanya uzembe kwa kutotwaa makombe pendwa na hii imewafanya mashabiki wailaumu sana ,ukiangalia brazili ni taifa ambalo % kubwa wachezaji wengi wanacheza ulaya tena vilabu vikubwa vinavyocheza ligi kubwa epl,laliga,seria A,nk,tokea brazil ifahamike inajua soka na vipaji vya hali ya juu wachezaji wamekuwa wakilewa sifa kwa kiasi kikubwa na hii ikipelekea kupoteza mechi mfano ukiangalia nyota wa sasa neymar ni mchezaji mzur na kipaji kikubwa kinachomharibu ni utoto wake,sasa kuelekea world cup 2022 safari hii brazil imepania hawatafanya uzembe na kulewa sifa kama miaka iliyopita ,ukiangalia takwimu brazili toka mechi za kufuzu zianze kule America kusini brazili kashinda mechi 24 kati ya 27 na sare 3 na ameongoza kundi ,hivyo safari hii inashauku na nia ya kufanya vizuri na kutwaa taji. Ngoja tusubiri
Yani France achukue back to back.Hapana aisee... Ilikuwa zamani.Kuna team toka ulaya itashinda world cup na ni France au England take a comment
KabisaKule Tuna Fundi Bishoo , mtaalamu wa Mpira kipenzi cha watoto wa Kike Neymar Jr huyu hana mfanowe
Kule kuna Fundi mwingine mtaalamu wa kuweka mpira mguuni ., akikupa pasi kam hujui mpira basi hutulizi Ufundi mwingi sana yeye mwenyewe anaitwa Paqueta.
Mabawa ya wings za hatari nikieleza hapa ntaonekana Mtunga Riwaya ..Vini Jr moto wake mnaujua pale madrid, Richarlison, Antony mchawi wa mpira kutoka Ajax
Hapo sijaja huku nyuma , kocha hajui ampange nani???
#Brazil bingwa asee
Croatia walizidiwa kasi ya mchezo. Mbappe,Kante balaa tupuHawezi.
Unakumbuka hata mwaka 2018 watu hawakuipa sana credit Croatia.
Ila ile penati ya France, iliwatoa sana jamaa mchezoni
Belgium unawachukuliaje mzee
Belgium bure kabisa, bora kocha wao kasepa tu kaenda UrenoMabigwa Wa WC 2022[emoji23]
Kuna Ardhi kuna Mbingu.KIZAZI CHA SHETANI, KIZAZI CHA UTABIRI, KIZAZI CHA UNAJIMU.
VIJANA WA KUBETI.
AIBU YAKO