BRAZIL inaenda kuwa bingwa wa Kombe la Dunia 2022

ni swala la muda tu mkuuu ila kwa brasil hii hapana mzee hatoboi
 
Natabiri.
German, Belgium au Senegal mmoja wapo anajitwisha ndoo
 
Hicho sicho kipimo kwani kwenye mechi za mtoano anaweza akafungwa na yeyote na ikawa kwa heri maanake hiyo waga ni mechi moja tu.
 
Kuna team toka ulaya itashinda world cup na ni France au England take a comment
 
Hili kombe linaenda kwa wajerumani.
Wamekamilika kila idara na wancheza kama team.

Neuar
 
Kabisa
 
Kombe la Dunia la Buza labda

R.i.p Pele & Maradona
 
KIZAZI CHA SHETANI, KIZAZI CHA UTABIRI, KIZAZI CHA UNAJIMU.

VIJANA WA KUBETI.

AIBU YAKO
 
KIZAZI CHA SHETANI, KIZAZI CHA UTABIRI, KIZAZI CHA UNAJIMU.

VIJANA WA KUBETI.

AIBU YAKO
Kuna Ardhi kuna Mbingu.
Kuna usiku kuna mchana.
Huku mwanamke na huku mwanaume.
Kuna mwezi kuna Jua.

Kuna vitu ni Siri vingine hata huambiwi kua ni Siri hadi mwenyewe uamue kuvifanya kua Siri ndio hubakia daima na milele kua Siri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…