Mtanzania Alphonce Simbu ashika nafasi ya 5 Marathon Olympics, haijapita kutokea.
Juma Ikangaa aliwahi kushika nafasi ya 6. Mtangazaji alisema they say in Tanzania Hapa Kazi Tu!!
Kumbe slogan ya JPM imesambaa ulimwengu mzima. Congrats Simbu
View attachment 385364
ALPHONCE FELIX SIMBU NA WENZAKE WATAWASILI TANZANIA TAREHE 25 AUGUST, SIKU YA ALHAMISI SAA NANE KAMILI MCHANA.
Tangu 1964 kwenye olympic ni mara ya kwanza Mtanzania kushika namba tano.
HahahahaKwa nafasi hio labda apewe medali ya copper.
.....we differ... Kwangu mi kuwa wa 1,2 ama 3 ndio big deal...kwangu ku
UKIWA NA MAWAZO YA KIMASIKINI SHIDA SANA.
MASKINI HUWA SIKU ZOTE ANAWEKA MALENGO/MAWAZO YAKE KWENYE KIWANGO CHA CHINI NA MARA NYINGI HUWA ANAFANIKIWA KUYATIMIZA NA WANAENDELEA KUWA MASKINI MILELE.
WENYE MAWAZO YA KITAJIRI NI TOFAUTI KABISA KILA SIKU WANAWAZA KUWA JUU NA MAWAZO YAO NI VITU VIKUBWA HAWARIDHISHWI NA MAMBO MADOGO MADOGO.
TANGU MWAKA 1964 HAKUNA ALIYESHIKA NAMBA 5? WATANO 5 NA WAISHIRINI 20 WANATOFAUTI GANI? KAMA WOTE SIYO WASHIRIKI TU. NANI ATAKUMBUKA KUWA ALISHIKA NAMBA 5?
"THINK BIG AND GROW RICH"
Wewe ni tajiri? Imekuwaje Forbes haumo?
Unajitaji kufikiri kabla ya kuongea kijana. Utajiri wewe umepeleka kwenye pesa tu?
Kwanza tafuta maana ya neno tajiri ndiyo uje uandike ujinga wako wapo.
Unaonyesha uwezo wako mdogo sana
aaaahahahahahahhaa we jamaaa huu ujumbe wako atakayeuelewa ni mwenye uwezo wakufikiri zaidi ya jitihadi zinazotumika kwa kiwango cha OlimpicUkiwa na Pombe "kichwani" kupata Suluhu ni Majaliwa. huwezi shinda mchezo