Kuna tangazo huwa linasikika kwenye redio kwamba Brazuka wakishirikiana na academi moja huko Marekani watakuwa wakizunguka mikoani kwa ajili ya kusaka vipaji vya mpira kwa vijana.
Jinsi ya kushiriki ni kwa kujiunga kupitia mtandao wa simu ambapo utalipia TSH 10,000/= ndipo unatumiwa tiketi ya ushiriki.
Katika kipindi cha michezo, watangazaji pia walijazilizia nyama kwenye tangazo kwa kusema kuwa, vijana watakaobahatika watapelekwa katika academi huko Marekani ambayo inashirikiana na Brazuka.
Binafsi naona hiyo ni fursa kwa wazazi wenye watoto wapenda soka. Tutimize ndoto za vijana wetu!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Jinsi ya kushiriki ni kwa kujiunga kupitia mtandao wa simu ambapo utalipia TSH 10,000/= ndipo unatumiwa tiketi ya ushiriki.
Katika kipindi cha michezo, watangazaji pia walijazilizia nyama kwenye tangazo kwa kusema kuwa, vijana watakaobahatika watapelekwa katika academi huko Marekani ambayo inashirikiana na Brazuka.
Binafsi naona hiyo ni fursa kwa wazazi wenye watoto wapenda soka. Tutimize ndoto za vijana wetu!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app