Breaches of Fundamental Freedoms and rights to Free, Fair and Credible election

Breaches of Fundamental Freedoms and rights to Free, Fair and Credible election

Walalamikaji wasije sema au kusingizia kwamba hawakuambiwa... kutokwenda mahakamani Kwa kisingizio chochote kile ni ku- second guess maamuzi ya mahakama ambayo hatujui itaamua nini hii test kesi ikifunguliwa...
Hakuna ku guess kuhusu mahakama zetu, chochote kinachoihusu serikali inayowapa hizo kazi na kula tunafahamu wataitetea serikali yao.

Wamewahi kuambiwa, hawana ukubwa wowote ikiwa mlipaji wa pesa za mishahara na uendeshaji wa mahakama zao ni mtukufu rais.

Na mtukufu rais aliwaambia hawako independent ikiwa kila kitu wanamtegemea yeye, anawateua, anawajengea majengo, anawateulia jaji kiongozi, anawateulia mwanasheria mkuu wa serikali, anawateulia waziri wa sheria na katiba, hivyo kwa kufupisha maelezo, wanapaswa ku act in favor of serikali iliyopo, na siyo hiyari kwao kuitetea serikali ni lazima, hakimu au judge asiyetaka kufanya hivyo kwa kujidai yuko neutral aliambiwa aondoke awekwe mwana ccm, there is no neutrality ni ama uwe ccm au usiwe hakimu au jaji kwenye serikali yake mtukufu rais.

Hatuhitaji research ku prove hili, hata kwenye mtifuano wa CAG uliona nini kilifanyika, sasa nani anaweza kuthubutu kufanya otherwise?!

Ni yeye aliyeamua tujitoe mahakama ya Africa iliyopo nchi kwetu, baada ya kuona kule wanaamua kesi zao kwa haki, alipomteua jaji kutuwakilisha kule mahakama ya afrika yule mama walisema atatenda haki na watayakubali maamuzi ya mahakama ile, kesi ngapi ziliamuliwa mahakama ya afrika wakapewa nakala ya hukumu kutekeleza wakakataa?!

I always say, we have laws but no justice.

Mfumo wetu uliishaamua kuwa bias, linapokuja swala la justice, hasa kuihusu serikali iliyopo.

Timeona kesi za wafanyakazi wakiiangusha serikali lakini hakuna utekelezaji, akiamua haurudi kazini hata kama mahakama ya rufaa ikiamua urudishwe haurudi kazini, na itakuwa hivyo kwasababu kaamua yeye na hakuna wa kumfanya kitu chochote.

Nimewahi kuuliza, ikiwa mtu yuko juu ya sheria, lakini yeye ndiye mtunzi wa sheria zetu, na yeye ndiye jaji mkuu, yeye ndiye mwanasheria mkuu, yeye ndiye DPP, yeye ndiye mkuu wa magereza, kwa nini ana apa au kuapishwa?!

Kiapo kinafaida gani kwa mtu aliyeko juu ya sheria?!

Yani ni sawa kusema kwamba Mungu anaapishwa na malaika, wakati hawa malaika hawana uwezo wa kumuwajibisha Mungu, sasa kwanini ana apa au kuapishwa?!
 
Hakuna ku guess kuhusu mahakama zetu, chochote kinachoihusu serikali inayowapa hizo kazi na kula tunafahamu wataitetea serikali yao.

Wamewahi kuambiwa, hawana ukubwa wowote ikiwa mlipaji wa pesa za mishahara na uendeshaji wa mahakama zao ni mtukufu rais.

Na mtukufu rais aliwaambia hawako independent ikiwa kila kitu wanamtegemea yeye, anawateua, anawajengea majengo, anawateulia jaji kiongozi, anawateulia mwanasheria mkuu wa serikali, anawateulia waziri wa sheria na katiba, hovyo kwa kufupisha maelezo, wanapaswa ku act in favor of serikali iliyopo, na siyo hiyari kwao kuitetea serikali ni lazima, hakimu au judge asiyetaka kufanya hivyo kwa kujidai yuko neutral aliambiwa aondoke awekwe mwana ccm, there is no neutrality ni ama uwe ccm au usiwe hakimu au jaji kwenye serikali yake mtukufu rais.

Hatuhitaji research ku prove hili, hata kwenye mtifuano wa CAG uliona nini kilifanyika, sasa na anaweza kuthubutu kufanya otherwise?!

Ni yeye aliyeamua tujitoe mahakama ya Africa iliyopo nchi kwetu, baada ya kuona kule wanaamua kesi zao kwa haki, alipomteua jaji kutuwakilisha kule mahakama ya afrika yule mama atatenda haki na watayakubali maamuzi ya mahakama ile, kesi ngapi ziliamuliwa mahakama ya afrika wakapewa nakala ya hukumu kutekeleza wakakataa?!

I always say, we have laws but no justice.

Mfumo wetu uliishaamua kuwa bias, linapokuja swala la justice, hasa kuihusu serikali iliyopo.

Timeona kesi za wafanyakazi wakiiangusha serikali lakini hakuna utekelezaji, akiamua haurudi kazini hata kama nahakama ya rufaa ikiamua urudishwe haurudi kazini, na itakuwa hivyo kwasababu kaamua yeye na hakuna wa kumfanya kitu chochote.

Nimewahi kuuliza, ikiwa mtu yuko juu ya sheria, lakini yeye ndiye mtunzi wa sheria zetu, na yeye ndiye jaji mkuu, yeye ndiye mwanasheria mkuu, yeye ndiye DPP, yeye ndiye mkuu wa magereza, kwa nini ana apa au kuapishwa?!

Kuapo kinafaida gani kwa mtu aliyeko juu ya sheria?!

Yani ni sawa kusema kwamba Mungu anaapishwa na malaika, wakati hawa malaika hawana uwezo wowkumuwajibisha Mungu, sasa kwanini ana apa au kuapishwa?!
Hata kama tunajua hivyo vyote hapo juu, bado principle zote za kutafuta amani zitumike kabla na kuisha ( using all available local remedies) kabla ya Kuandamana au fujo au civil disobedience yeyote... njia hii ikifanyika, hata jumuia ya kimataifa itaelewa justification ya post election violence...
Waende tu mahakamani na wakati huo huo wakifanya mengineyo...
 
Hata kama tunajua hivyo vyote hapo juu, bado principle zote za kutafuta amani zitumike kabla na kuisha ( using all available local remedies) kabla ya Kuandamana au fujo au civil disobedience yeyote... njia hii ikifanyika, hata jumuia ya kimataifa itaelewa justification ya post election violence...
Waende tu mahakamani na wakati huo huo wakifanya mengineyo...
Hahaha ni ujinga kufanya kitu ukijua outcome yake ni ku fail.

Tuliwaambia wasiende kwenye uchaguzi bila tume huru hawakusikia, leo wanadai tume ya uchaguzi haikuwa huru, who didn't know that?!

Sasa unaenda mahakamani mara wanaitupilia kesi yako mbali kwasababu haina mashiko kisheria, umesema na ku quote katiba inasema msemaji wa mwisho ni tume ya uchaguzi, ikimtangaza mgombea hakuna kupinga popote, sasa unaenda mahakamani kufanya nini kama sio wehu?!

Mahakamani haina mamlaka zaidi ya tume ya uchaguzi, hivyo ni kujisumbua.

Maandamano yoyote yasiyo ya ccm ni haramu nchi hii, yoyote labda yale ya ukimwi na kuchangia pesa kuisaidia serikali.

Kuandamana ni kutafuta attention sio ndani bali nje, na yakifanikiwa tunaweza kuanzia hapo, kurekebisha mfumo wetu we kiutawala na kisheria.

Waacha tuandamane, msituvunje moyo, damu zetu zinaweza kuwa mbolea ya demokrasia nchini.
 
Wapinzani wa Tanzania hawaamini Tume, hawaamini Polisi, hawaamini Usalama wa Taifa, hawaamini Mahakama, hawaamini Jeshi la Wananchi.

Watu wa namna hii, hata kunapokuwa na njia za amani zinazoweza kuwapa mafanikio, hawawezi kuziangalia.

Maandamano yao yamelenga kupata political relevance tu ili waendelee kuwa kwenye midomo ya watu. Hayajalenga kutafuta utatuzi wa chochote.
Mleta mada ana hoja ya msingi, hivi wewe kwa uelewa wako unadhani kuna taasisi yoyote ya serikali ambayo ipo independent in terms of decision making? Kama bunge na mahakama tu ambazo kikatiba ni mihimili inayopaswa kujitegemea, na ni ukweli usiotia shaka yoyote ile kwamba hiyo mihimili yote haijitegemei sasa iweje wapinzani waamini chombo au taasisi yoyote ya Serikali? Katiba ya JMT imempa Rais imamlaka makubwa sana, kila mkuu wa idara yoyote ya Serikali anachaguliwa na Rais, upuuzi mtupu! Vyombo vya ulinzi na usalama vinaongozwa na watu ambao hawana weledi kwa sababu wanawekwa kwa matakwa ya Rais na siyo kwa kuangalia public interest, kimsingi kwa hoja ya wapinzani kuandamana ni hoja yenye mashiko labda ni kwa sababu wanaotakiwa kuandamana na kudai haki zao kikatiba ni either hawajaelewa au bado mlo mmoja wanaopata unawatosha hadi pindi huo mlo mmoja utakapokosekana ndiyo wataelewa umuhimu wa kuandamana!
 
Back
Top Bottom