Hii hua ni mbaya sana ila km unakua ni mtu wa kumsoma mtu wako vizuri hata changes utazigundua tu,
Ila kwa namna tulivoumbwa sie wanawake hua tunachelewa kugundua hasa unapokua umependa na vinavooumiza ni vile visa hapokei simu,kila mara anakukwepa,anajidai amekua bize siku hizi,msg hajibu kwa wakati
km huna ufahamu wa kutosha na kuanza kufanya utafiti badala yake ndio unaishia kulia na kusononeka wakati wote kwa mda mrefu na mwisho wa siku hata mkikutana hamsalimiani,
Bora kuambiana mapema tu kwa kweli na km akili zilishakomaa kinachofata ni kukubali matokeo na kusonga mbele!
Ila hapa napo inabidi kumsoma na mtu mwenyewe maana kuna wanaume wengine pia hawako strong anaweza maliza hasira kwa kukudunda!!!