Kumbe ndiyo swali lako lilikuwa linalenga namna hii?Ewaaaa huo ndio uhalisia.
INAONEKANA WATU HUAMKA NA VINYWA SAFI BAADA YA KULALA USINGIZI WA 8HRSAtaswaki baada ya hiyo bed breakfast!
Ukizoea Kiingereza cha kukariri lazima uone IN imekosewa. Haya BBC hao wanasema Breakfast IN bed ila wewe Mmatumbi unasema wanakosea.Breakfast on bed....nimekusaidia tu.
Ukisema in bed una imply umelala...ukisema on bed una imply umekaa au umesimama hata kurukaruka.
Hey I'm an engineer usiniulize sana
Daaah[emoji16][emoji16][emoji16]
Malipo anayoyapata baada ya kutenga chai.Huyu Dogo cjui kama zinamtosha kweli
Kama matahira. Mwanaume akikosa hela anakua fala sana.Malipo anayoyapata baada ya kutenga chai.View attachment 861207
Naona unaipotezea ile ya Bali middle of December this year[emoji37]Aiseeh acha nijisakrifaisi tuu. Tangu nimezaliwa sijapenda ndege acha nikateseke kishujaa
Unacheka nini sasa. Wewe huwezi hayo malavidavi?Daaah[emoji16][emoji16][emoji16]
Nacheka kama mazuri[emoji23][emoji23]Kama matahira. Mwanaume akikosa hela anakua fala sana.
Ndio nani huyu?Malipo anayoyapata baada ya kutenga chai.View attachment 861207
Aisee hiv kabisaa na bi mkubwa wake anapita mtandaoni anaona mwanae anafanywa hv haki Mungu anaumwa uchungu upyaaaMalipo anayoyapata baada ya kutenga chai.View attachment 861207
Mtori ukimwagikia kunako bed je? [emoji24]Unacheka nini sasa. Wewe huwezi hayo malavidavi?
Sio mambo mazuriNacheka kama mazuri[emoji23][emoji23]
Yaani hapo wamekutana chizi na tahira...Kama matahira. Mwanaume akikosa hela anakua fala sana.
bahati mbayaMtori ukimwagikia kunako bed je? [emoji24]
Sure zaidi ya uzwazwaSio mambo mazuri
Nahisi mama yake analia kila siku akiona mwanae anachofanyiwaAisee hiv kabisaa na bi mkubwa wake anapita mtandaoni anaona mwanae anafanywa hv haki Mungu anaumwa uchungu upyaaa
Huyo anaitwa holystar na sister fey .Ndio nani huyu?
Kisoda na chupa yake[emoji23]Yaani hapo wamekutana chizi na tahira...
Hahaha hahaha hahaha