Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAONGELEA KUAMKA MKUU AUI HUONI KATOKA USINGIZI.....UNAKISWAKI ASUBUHI INAMAANA UMEKULA NDOTONI AU HUSWAK ASUBUHUnaelewa maana ya kuswaki?
Unaswaki kabla ya kula au baada ya kula?
Heeee umekomaaa na wewe haumwachi.Kumuacha siwezi. Nendeni vacation mkirud unirudishie mchumba angu
Kwani gwaride la mchumba ako linatisha???Lakini kasema hatengi bure bure. Ukishiba jiandae kucheza gwaride
Na kumbuka kwamba mazoea hujenga tabia. Nakumbuka niliwahi kumkubalia jambo flani baada ya siku 2 anahitaji kubwa zaidi ya ile. Ni bora akuone mndava kuliko hayo mapenzi ya kifilipinoHa
ha ha uaipime sumu kwa kuilamba io...
Yeah, imebaki story!Duh yaligeuka shubiri
Kwani gwaride la mchumba ako linatisha???
Anasimamia sana au kidogo?
Nisaidie mwanamke mwenzako
Ataswaki baada ya hiyo bed breakfast!NAONGELEA KUAMKA MKUU AUI HUONI KATOKA USINGIZI.....UNAKISWAKI ASUBUHI INAMAANA UMEKULA NDOTONI AU HUSWAK ASUBUH
Nitamtibu tutaendeleaHeeee umekomaaa na wewe haumwachi.
Nitakurudishia nikiwa nimemaliza uroto wote wa kwenye joint za miguu.
Kwa kifupi atakuja anatambaa
Jaribu at your own risk.. ukienda vacation utajua tuKwani gwaride la mchumba ako linatisha???
Anasimamia sana au kidogo?
Nisaidie mwanamke mwenzako
Wangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035
Hahahaha misa ya saa ngapi unaenda?Duh, ngoja nirudi church, kuna ombi nilisahau kuliwakilisha.
Huyu Dogo cjui kama zinamtosha kweli
Aiseeh acha nijisakrifaisi tuu. Tangu nimezaliwa sijapenda ndege acha nikateseke kishujaaJaribu at your own risk.. ukienda vacation utajua tu