Mzigua90 haonagi karibu hivyo hiyo msg hataionaUnaharibu sasa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigua90 haonagi karibu hivyo hiyo msg hataionaUnaharibu sasa...
Huna msimamo muoneHizo ni safari za ki-JF (yaani za kiutani).
Wewe ndo tutaenda kiukweli ukweli.
HahahahahahaaAsee mambo ya Vacation ,kuna memba humu natamani niiende nae Vacation japo Nairobi tu au Serengeti mbugani ,hakika nitafanya zaidi ya hy kwa ajiri yake
Anaruka ruka tuSasa mbona unamwambia mzigua kwamba unanitania.
Usinifanyie hivyo
Asee mambo ya Vacation ,kuna memba humu natamani niiende nae Vacation japo Nairobi tu au Serengeti mbugani ,hakika nitafanya zaidi ya hy kwa ajiri yake
Mi kaniambia bagamoyo hapo nauli elfu 2 sijui wakati mwenzangu utapandishwa drimlainaWaooohhh sawa basi nitakuhadithia mambo ya abroad maana wewe bila shaka utapelekwa Dodoma na patakuwa pakame hatari
Ha ha ha ha kikinuka vacation balaa! Kama ndoa ya kikristo.Ukijipanga na ukampanga inawezekana, hizo mambo Mara moja kwa mwaka si mbaya.
Na mkiwa kwenye mood nzuri mbona unajikuta unafanya zaidi ya hapo? Kikinukia vacation ndo shida, halafu unajikuta umebook 3 days na kinanuka day 1.
Dah, nimekumbuka mbali sana, hizi mambo za kushtukizana hazitakiwi aisee.
Wala sijaona. Kwani kafanya nini?Mzigua90 haonagi karibu hivyo hiyo msg hataiona
Huna msimamo muone
Mwambie ata mimi namtafuta sana tuAnakutafuta
Easter HolidayUkijipanga na ukampanga inawezekana, hizo mambo Mara moja kwa mwaka si mbaya.
Na mkiwa kwenye mood nzuri mbona unajikuta unafanya zaidi ya hapo? Kikinukia vacation ndo shida, halafu unajikuta umebook 3 days na kinanuka day 1.
Dah, nimekumbuka mbali sana, hizi mambo za kushtukizana hazitakiwi aisee.