Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kanuni ndogondogo ambazo lazima uzifuate,mfano huwez kwenda kula chakula chooni ,kitandani pia sio ,coz unaweza kuleta kunguni au mende kutokana na zile particles za chakula,then kuna bacteria wengi sana ambao ni normal flora mwilini so mtu akilala wengine wanabaki on bed,then they can be contaminated with foodsHii kanuni ya mazingira stahiki imewekwa na nani na kwa misingi ipi?
Waooohhh sawa basi nitakuhadithia mambo ya abroad maana wewe bila shaka utapelekwa Dodoma na patakuwa pakame hatariSawa mama nenda nae tu. Mimi December zamu yangu...
mimi naweza ila sina apron tuWangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035
Cc Mzigua90 njoo ona Hahahaha hahahahhahahaHizo ni safari za ki-JF (yaani za kiutani).
Wewe ndo tutaenda kiukweli ukweli.
Sasa mbona unamwambia mzigua kwamba unanitania.
Usinifanyie hivyo
Hizi mambo hutokea ndotoniWangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035
Cc Mzigua90 njoo ona Hahahaha hahahahhahaha
Unafananisha chumbani na chooni? Btw kuna vyoo unaweza kula bila issue yoyote. Kama kitandani kwako kuna bacteria au wadudu wowote hawatasubiri ule ndio wakudhuru,watskudhuru hata bila kula hapo kitandani.Ni kanuni ndogondogo ambazo lazima uzifuate,mfano huwez kwenda kula chakula chooni ,kitandani pia sio ,coz unaweza kuleta kunguni au mende kutokana na zile particles za chakula,then kuna bacteria wengi sana ambao ni normal flora mwilini so mtu akilala wengine wanabaki on bed,then they can be contaminated with foods
Sawa mganga tena hasa hasa ndoto za mchanaHizi mambo hutokea ndotoni
Umesahau kale kaugonjwa kamapenzi katakufanya usitake kuamka kitandani. ....hapo ndipo utaipenda chai kitandani. [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mimi siwezi mkuu.
Labda kwa Nguvu ya limbwata...hata mwanamke sitaki anifanyie.
Hahaha, mapema sana Mkuu, hata hivyo kuja kumjua ngumuNatamani nimjue....
Sawa basi fanya kunitumia mapema kabla haujaghairiSiyo kila kitu tunakiweka hapa kwenye public, ntakutumia namba yangu PM tujadili kwa mapana.
Mbona hukuntumia tena zile dollar?Vipi tena Rafiki, hebu sema neno