Breakfast in Bed....

Breakfast in Bed....

Hahahaahaaaa.. tutaenda wapi? Visiwanj, bagamoyo au Magoroto? Tunajipanga Nyerere day twende Magoroto wenzio. Wale wale tuloenda Dom

Huko nawachieni, ile timu sitakiwi hata kunusa pia maana mtaninyonya damu.

Wewe visiwani.
 
wanawake kind that huwaga vile wavivu kila mahala....

then vitu vya kuchora kama hiyo pict huwanga zinavutia but uhalisia zero, ni kama kuchora nyumba nzuri but huwezi ingia ndani
 
wanawake kind that huwaga vile wavivu kila mahala....

then vitu vya kuchora kama hiyo pict huwanga zinavutia but uhalisia zero, ni kama kuchora nyumba nzuri but huwezi ingia ndani
Hujawahi kufanyiwa?
 
Back
Top Bottom