Zambi hizo ssa... Utakuta ni mandingo ndio maana kagandwa[emoji16]Anasema anayo ila sina uhakika kwa kweli.
Hata kale katoto sijui kama ana uwezo wa .......
Life is simple brother, unless you make it look otherwise!INAONEKANA WATU HUAMKA NA VINYWA SAFI BAADA YA KULALA USINGIZI WA 8HRS
Hahahaha misa ya saa ngapi unaenda?
Sunday school au?
Mie nishajipanga ,cz ratiba ya kufanya vacation ninayo sana karibu kila mwaka nafanya ,tatizo utayari wa muhusika,kwanza kunielewa Pili kukubali hy vacationUkijipanga na ukampanga inawezekana, hizo mambo Mara moja kwa mwaka si mbaya.
Na mkiwa kwenye mood nzuri mbona unajikuta unafanya zaidi ya hapo? Kikinukia vacation ndo shida, halafu unajikuta umebook 3 days na kinanuka day 1.
Dah, nimekumbuka mbali sana, hizi mambo za kushtukizana hazitakiwi aisee.
Mie nishajipanga ,cz ratiba ya kufanya vacation ninayo sana karibu kila mwaka nafanya ,tatizo utayari wa muhusika,kwanza kunielewa Pili kukubali hy vacation
Mie mvumilivu nitasubiri siku itakayo kuwa sawaMkuu ipresent kwa muhusika, huwezi jua mnaweza kuclick.
Ingawa wengine kukuelewa inachukua muda, lakini its worth a trial, anaweza asikubali hii ya sasa lakini ukapata nafasi baadae.
Mie mvumilivu nitasubiri siku itakayo kuwa sawa
Inawezekana kufanya but mabibi zetu wanazingua so huwez kumpetpet mtu ambaye haonyesh kujal so tunaish ilimlad night unamvua pichu life linaendeleaWangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035
Wakati wa ubii/gelo furendi sawa!....ila unawatito wanne, ada, na majukumu mengine haya hupitea hubaki kama tamthilia ya Egoli Place of Gold!Wangapi tunaweza kufanya hivi?View attachment 861035
Oooh, sio kwamba mvumilivu hula mbivu?Ngoja ngoja utakuta mwana si wako.
Mmmh ,usimsee MTU moyoNinavyowajua dada zangu kukataa ni nadra sana.
Wapo tena bila limbwataHawa wapo kwenye vitabu na movie za hollywood..Tanzania walikufa vita ya kagera
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mapenzi ya kizamani YaleNdiyo vinini hivyo sasa...kwenye maisha yangu ya kila siku haviwezekani. Yaani huyo mwanamke wa kuletewa chakula kitandani anaumwa! au mwanaume wa kuketewa chai kitandani amekakamaa mwili au vipi! Kupika najua tena saana tu...ila siwezi kufanya
Nipo tofauti na mapenzi ya hivi.