Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini nyumbani huwezi? Hata nyumbani unaweza kufuata restaurant
YaaaaHata kwa mwezi mara moja? Just a surprise
Some tyms lakinKwa maana hii hutaweza kunfanyia babe chochote.
Inatokea kweliEeeh fanya yoote alafu ukute kuna lijinga linakugegedea badae
hapo ndio utapotambua thamani ya xEeeh fanya yoote alafu ukute kuna lijinga linakugegedea badae
haya mambo ya kubadirisha bed kuwa meza ya chakula ni wendawazimu mkuu😀Kama unaweza kujitengenezea mwenyewe unashindwa vipi kuongeza extra za mpenzi?
Yeah,siku moja inawezekana kabisa ,kuna siku MTU unakua na mzuka na MTU wako sanaKufanya kila siku sio rahisi...ila surprise mara moja moja malipo yake yanaridhisha
Kina "Angelo" na kina "Alejandro" wanazuga tu hapa.Hao ndio mabingwa wa hizi mambo
Hahaha acha kuwaza negativity mkuuEeeh fanya yoote alafu ukute kuna lijinga linakugegedea badae