Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
Mkwe ngoja niishie hapa naweza nikajikuta nimetumbukia piem bure
Acha tu, mtu akienda extra mile kuonyesha care, is so Romantic!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkwe ngoja niishie hapa naweza nikajikuta nimetumbukia piem bure
Teh teh!! Hakuna mkuu. Mautani tu.Duh limbwata tena...!
Jishikilie tuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkwe ngoja niishie hapa naweza nikajikuta nimetumbukia piem bure
Loohh!kidogo tuuuMambo ya limbwata hapa hamna dada.
mwenyekiti tumia tasfidaPossible haiwezekani apende tako hvyoo
Sidhani km ni libwata hyDuh limbwata tena...!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] jamani sawaamwenyekiti tumia tasfida
cheo chako kizito mno eti Ray[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] jamani sawaa
Na ndivyo inavyotakiwaMara moja moja siyo mbaya
Toto zurii wapenda maraha weye[emoji8] [emoji23]Yani kanifanya nianze kuimagine raha anazopata gf wake..
Sana jamani basi tu yani.Toto zurii wapenda maraha weye[emoji8] [emoji23]
Raha si ndio zenyewe lknSana jamani basi tu yani.
Aisee, so nikijituma sana kukutumikia moyoni mwako ntapata nafasi eeeSana jamani basi tu yani.
Raha ndo kila kituRaha si ndio zenyewe lkn
Cheo gani tena?!!!cheo chako kizito mno eti Ray
Ukinipa na hela nafasi unashika ya kwanza kabisa..Aisee, so nikijituma sana kukutumikia moyoni mwako ntapata nafasi eee
Naam, binafsi sipendi stress, wala kujizuia kufanya raha na starehe ,maisha ndio haya hayaRaha ndo kila kitu
mwalimu na naona mahali wanakuita m/kiti kwenye uzi wakoCheo gani tena?!!!