Maisha mafupi ukipata nafasi ya kujipa raha jipe raha zote mpaka moyo usuuzikeNaam, binafsi sipendi stress, wala kujizuia kufanya raha na starehe ,maisha ndio haya haya
tatizo langu niko kama tembo, hujipa likizo ya wiki mbili nihame mji na nimpendaye, muda huo wote usiku na mchana ninakudekeza kama yai jumlisha mambo yetu yale, yaani ukirudi kitaa umeiva kama mwali, na mfukoni sio haba. baada ya hapo ni kazi kazi napunguza ratiba pendwa. unaweza hiyo?Ukinipa na hela nafasi unashika ya kwanza kabisa..
Hakuna kinachoshindikana mkuutatizo langu niko kama tembo, hujipa likizo ya wiki mbili nihame mji na nimpendaye, muda huo wote usiku na mchana ninakudekeza kama yai jumlisha mambo yetu yale, yaani ukirudi kitaa umeiva kama mwali, na mfukoni sio haba. baada ya hapo ni kazi kazi napunguza ratiba pendwa. unaweza hiyo?
Sina wa kunipa hizo raha. Naishia kuzitamani kwa wengine tuKwani hupewi raha?
ntakuchekiHakuna kinachoshindikana mkuu
Ewaaa ,siku hz mnasema bata km zoteMaisha mafupi ukipata nafasi ya kujipa raha jipe raha zote mpaka moyo usuuzike
Ndiwooo ndiwoooEwaaa ,siku hz mnasema bata km zote
HahahahahahaaaDuh nguruwe pita sina mshale....
Hmmmmmmm.Mimi siwezi mkuu.
Labda kwa Nguvu ya limbwata...hata mwanamke sitaki anifanyie.
MmmhSina wa kunipa hizo raha. Naishia kuzitamani kwa wengine tu
Unaguna nini??Mmmh
MmmhSina wa kunipa hizo raha. Naishia kuzitamani kwa wengine tu
Mmmh, we unakosaje wa kukupa raha km hz ?Sina wa kunipa hizo raha. Naishia kuzitamani kwa wengine tu
huwa napenda ulivyo muwazi wewe dadaRaha ndo kila kitu
Kwanini nisikose sasa? Ndo nimekosa sasa mwenzioMmmh, we unakosaje wa kukupa raha km hz ?