Hahahaha.. embu acha basiHii ni kama penati Pogba aogope kupiga amwachie Lukaku...
Inahitaji umakini,unaweza hisi penalty kumbe ,VAR ikakataaBlaza penati hio dk 93...
MfyuuuuBlaza penati hio dk 93...
Ngoja tuhakiki ktk VAR mkuuHii ni kama penati Pogba aogope kupiga amwachie Lukaku...
Mbona sikumbuki hizo terma za MoU zikoje? Isijekua hunitaki tu bila sababuMimi na huyo tuna MOU siwezi kuingia.
Naonaga aibu mtu akiniangalia machoni tuUnaona aibu....
We ndo unazuga hapaHa ha ha acha kuzuga mkabe blaza hapo usimuachie
Ukishaona penalty kweli unabutua au?Ngoja tuhakiki ktk VAR mkuu
Hahahahahaaaa..Hio Jim Beagley anaita STONE WALL PENALTY...referree can not miss it!
Naipiga kwa umakini Mkubwa mno ,nisikoseUkishaona penalty kweli unabutua au?
Kazi kwakoNaipiga kwa umakini Mkubwa mno ,nisikose
Kweli. Hapo ndo kuna aibu ila zaidi ya hapo hamnaSema kweliii..
HahahahaKazi kwako