Breakfast in Bed....

Hahaha kwa hiyo sie ni sawa na wanasheria wasioji-update sheria mpya wanabaki na zilezile za 1977.

Hili linipite bwana. kama ni kutuchukulia wenza wetu wabebeni tu.
Hahaa!! Watabeba vijana, mimi na mke wa mtu ni vitu viwili tofauti, huwa sijisikii amani kabisa kuruka mke wa mtu.
 
Nishafanyiwa na kufanyia.

mume bwege ww, hizo mambo ufanyiwe, unajibebisha ku prove uko peke yako

unamfanyia hizo mambo anaenda kusifiwa na jamaa umenawili , huyo alomsifia ndo anaonekana bora
 
hiyo mie napenda sana tena baada ya mrembo kuwa nimemkunja vilivyo night.
 
Abadani asilani huwa naandaa hako katrey ikifikia zamu ya kukabeba kumpelekea mawazo huwa yanakuja labda kuna bwege flan nje anajichapia basi naviteremsha kimoja kimoja naweka mswaki na dawa nampelekea kwnye kitray
 
Abadani asilani huwa naandaa hako katrey ikifikia zamu ya kukabeba kumpelekea mawazo huwa yanakuja labda kuna bwege flan nje anajichapia basi naviteremsha kimoja kimoja naweka mswaki na dawa nampelekea kwnye kitray
Hahahahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…