Hahaa!! Watabeba vijana, mimi na mke wa mtu ni vitu viwili tofauti, huwa sijisikii amani kabisa kuruka mke wa mtu.Hahaha kwa hiyo sie ni sawa na wanasheria wasioji-update sheria mpya wanabaki na zilezile za 1977.
Hili linipite bwana. kama ni kutuchukulia wenza wetu wabebeni tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha aisee.Hawa wapo kwenye vitabu na movie za hollywood..Tanzania walikufa vita ya kagera
Nishafanyiwa na kufanyia.
Eeeh fanya yoote alafu ukute kuna lijinga linakugegedea badae
Kuwa na amani mchumba huibiwiNaona mnataka hii thread niiripoti kwa Mods mchumba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh kuna watu wana bahati dunia hii...
Ishakuangukia sasa Mr. RomanticNo way, sijakua na bahati kiasi hicho!
Nani huyo?Duh yule hadi kawakimbia....
HahahahaaaAbadani asilani huwa naandaa hako katrey ikifikia zamu ya kukabeba kumpelekea mawazo huwa yanakuja labda kuna bwege flan nje anajichapia basi naviteremsha kimoja kimoja naweka mswaki na dawa nampelekea kwnye kitray
Naona unawahi daladala za kivukoni saa hizi au ndo morning glory?Ha ha ha yaani mimi Bushoke?