Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitupie picha ya hiyo mashine nikaisake dukani. halafu utanifundisha namna ya kutumiaNi machine mkuu.
Da, haya. kapicha basi au inaitwaje ila picha ndio inaongea vizuri, mana kiingereza changu ni bashiteAtakae kuuzia atakufundisha jinsi ya kuitumia.
Na Mimi Naomba hiyo picha ya mashine na bei yake mkuu. All in all matunda yamenivutia sanaAtakae kuuzia atakufundisha jinsi ya kuitumia.
hapana wengine wanaingia nazo toka mamton. Ila umesaidia kitu, ntazitafuta nikipata ntakuambia kama hawajanielewesha vizuri, utaongezeaMkuu mbona unataka kunitia kitanzini? Jaribu Mlimani City.
Tunapateje hiyo machine![]()
![]()
Bei haifiki 30,000 mkuu
Asante sana miongonii mwa watu umeniifurahisha wew mmoja wapo siku ya leo maana nilikuwa modless! I wish kila siku walau ungepost tusingeona Cv threas za watu ambao wanatafuta umaarufu waliokosa nje ya JF! Last i wish if i could be there! Ubariikiwe sana!![]()
![]()
Cantaloupe
![]()
Papai
![]()
Pineple
![]()
Watermelon
![]()
Kwa wale wanaojali afya, hii ni aina ya breakfast unayoweza kutengeneza. Unaweza kuchanganya na yogurt pia.