BREAKING: Civil Society group files case in High Court seeking to stop tallying

BREAKING: Civil Society group files case in High Court seeking to stop tallying

Bado majimbo 68; Uhuru asipoongoza kwenye hayo majimbo yaliyobakia uchaguzi unarudiwa kwa wagombe kutofikisha 50% + 1 vote

12:00pm:
Uhuru Kenyatta - TNA: 4,835,482 [49.5%]
Raila Odinga - ODM: 4,316,005 [44.2%]

223 out of 291 Constituencies results
____________________________
 
Kizungumkuti,sarakasi zinaendelea.Africa yangu Demokrasia bado saana labda Ghana pekee"
 
Kizungumkuti,sarakasi zinaendelea.Africa yangu Demokrasia bado saana labda Ghana pekee"

Ghana pekee yake kivipi, mbona sisi ketu Tz kuna Demokrasia, tena zaidi ya ya Ghana!
 
Ghana pekee yake kivipi, mbona sisi ketu Tz kuna Demokrasia, tena zaidi ya ya Ghana?

Mzaha huo! Huu ni mwaka wa tatu sasa matokeo rasmi ya uraisi wa 2010 (yakionyesha kura kwa majimbo/vituo) hayajatolewa. Demokrasia gani hiyo?
 
Mzaha huo! Huu ni mwaka wa tatu sasa matokeo rasmi ya uraisi wa 2010 (yakionyesha kura kwa majimbo/vituo) hayajatolewa. Demokrasia gani hiyo?

Sijasema Demokrasia yetu haina mikwaruzo, La hasha! Tunafanya Uchaguzi kwa Amani, matokeo yanatoka aliyeshindwa anakubali, anamtambua aliyeshinda na maisha yanaendelea, tunaanza kujipanga kwa Uchaguzi ujao!

Hata Waghana pia ukiongea nao wana malalamiko kibao kuhusu Demokrasia yao kama sisi tu, tena na zaidi, mwisho wa siku sisi bado ni mfano wa kuigwa Afrika, kama sio Duniani!
 
Ghana pekee yake kivipi, mbona sisi ketu Tz kuna Demokrasia, tena zaidi ya ya Ghana?

Tanzania kuna wizi, kutumia ujinga na umasikini kwa malengo ya CCM. HAKUNA DEMOKRASIA
 
Tanzania kuna wizi, kutumia ujinga na umasikini kwa malengo ya CCM. HAKUNA DEMOKRASIA

Demokrasia Ipo, sema haijitoshelezi, kama ilivyopaswa kuwa, kama sehemu nyingine yoyote ile!
 
Eeee Mwenyezi Mungu uinusuru Kenya na machafuko.
 
Sijasema Demokrasia yetu haina mikwaruzo, La hasha! Tunafanya Uchaguzi kwa Amani, matokeo yanatoka aliyeshindwa anakubali, anamtambua aliyeshinda na maisha yanaendelea, tunaanza kujipanga kwa Uchaguzi ujao!

Hata Waghana pia ukiongea nao wana malalamiko kibao kuhusu Demokrasia yao kama sisi tu, tena na zaidi, mwisho wa siku sisi bado ni mfano wa kuigwa Afrika, kama sio Duniani!

Sisi hatuna demokrasia, tuna ujinga uliotukuka kwenye demokrasia!!
 
Yote hii ni wale washenzi wanaopindisha ukweliii, mambo yangekuwa straight sidhani kama vitu kama hivi vingekuwa vinatokea.

Nadhani wale wanaosababisha uchakachuaji wao wawe wakwanza kusulubiwa liwe fundisho na kwa nchi zingine !

Mungu wanusuru raia wa Kenya.
 
Ghana pekee yake kivipi, mbona sisi ketu Tz kuna Demokrasia, tena zaidi ya ya Ghana?

Hivi unauliza swal au unatuambia?? Jaribu kujifunza namna ya kutumia question mark (?)!!

Anyway, Democracy ya TZ wanaijua wana CCM peke yao!!
 
Hivi unauliza swal au unatuambia?? Jaribu kujifunza namna ya kutumia question mark (?)!!

Anyway, Democracy ya TZ wanaijua wana CCM peke yao!!

Nimekwishabadilisha asante kwa kunifundisha, angalau nimepata kitu!

Sio kweli hata wasio CCM pia inawasaidia ktk maisha yao ya kila siku kwa namna moja au nyingine!

 
Back
Top Bottom