Breaking IDF yafanya mashambulizi makubwa ya ndege gaza na kuua wapalestina 71, wamo watoto 19 na wanawake 24

Breaking IDF yafanya mashambulizi makubwa ya ndege gaza na kuua wapalestina 71, wamo watoto 19 na wanawake 24

Nakukumbusha nakuwakumbusha wengine, VIETNAM raia milion 3 waliuwawa na Marekani lkn ilo alikufanya Marekani ishinde vita japo Marekani walisema Wanajeshi wao elf 58000 walikufa kwenye iyo vita Je nani mwisho alishinda Vita??
Hasira ya nini?! Magaidi lazima washughulikiwe bila kupepesa macho
 
Walisema hamas walifanya kosa la kihistoria watu walichukulia poa tu. Ile sikukuu kwa myahudi ni kubwa Sana na wanaiheshimu sana. Sasa Upumbavu wa hamas wakavyamia watu wakati huo. KOSA LA KIHISTORIA linaandika HISTORIA PIA HII ITAWEKWA KWENYE KUMBUKUMBU ZA HAMAS
Mkuu hamas hawana kosa actually, jifunze israel wakiwatesa Palestine miaka nenda miaka rudi wanawapiga na kuwauwa kila uchao, wakiwachukulia ardhi yao, palestine hawakuwa na uhuru ata kuingia kwenye nyumba zao za ibada walikuwa wanapangiwa leo musiingie au aingie nani na nani na na leo msiingie au waingie kundi hili, wapelestina walikuwa wamesiginwa hadi ukutani dunia ilikuwa inafahamu yote lakini hawakuwa na wakuwasemea wala kuwatetea ni vile hamas walikuwa wanafanya mikakati ya kuondokana na ile hali hata kama wao ni dhaifu ilishawachosha, ata wewe binafsi mtu hawezi kukuonea kila siku lazima kuna siku utajitutumua. na kwa taarifa yako hili kundi la Hamas asili yake kuanzishwa sababu ni hizi hizi Palestine ni nchi kama nchi nyengine lakini wamenyimwa fursa ya kuwa na jeshi lao ndio maana ya kuwa na kundi hili la hamas ambalo wameingia msituni kuwatetea ndugu zao Palestine
 
Back
Top Bottom