breaking news Abiria asahau kuvua helment

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nimeshuhudia live maeneo ya Riverside ubungo tukio la kuchekesha Sana.kuna abiria mwanamama kashushwa na bodaboda Sasa alikuwa kavaa helment Sasa alivyoshuka akasahau kuvua helment akampa bodaboda hela alafu akaondoka Hadi watu tuliokuwa tunashuhudia tukamuita we mmama rudisha helment ndo akashtuka alijisahau Sasa we kweli unawezaje kutembea na helment una pressure gani , stress gani,.hutakiwi kuongea hata peke yako ukiwa unatembea barabaran kwamba hizo Ni dalili za uchizi.aliyenielewa Ani tag
 
Hii habari ni nzuri ila tu ni sawa na supu iliyokosa chumvi na mafuta mafuta maana haina hata PICHA
 
Kwa hiyo wote mloreply hamjamwelewa looooh , siyo powa , maana sijaona tag hata moja kweye replies zenyuuuu
 
Huwa inatokea, hiyo inaitwa preconcious thought (By Sigmund Freud), ipo kwenye psychology. Mfano unaweza ukawa umeshika peni au hela alafu ukawa unajiuliza umeiweka wapi.
 
Imewahi nitokea..nilikua nna test asubuh saa mbili halafu nimechelewa kuamka. Nilivompa hela tuu nikaondoka fasta mlinzi getini ndo akanishtua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…