Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua MUCE ni branch ya UDSM...kama udsm hawaruhusu wanafunzi kujihusisha na biashara....hivi wanategemea nini pale wanapochelewesha pesa kwa wanafunzi kwa takribani wiki tatu sasa....?
Serikali ijifunze kutoa hela kwa wakati..yaani walishajiendekeza kwa mfumo wa malimbikizo!
Nasikia mkuu wa chuo baada ya kuanikwa Bungeni kaamua kuyaweka mafichoni magar yake sasa anatembelea HIACE.
Tz ni zaidi ya uijuavyo.
Imagine MUSHI + KIMEI/CRDB jibu utajaza mwenyewe watu wanapiga ela kwenye Fixed Account uku vijana wanaumia.
Pesa ya laana haita kaa unufaike nayo ukiachia ngazi tuu nayo inapukutika
....anything too much is harmful!!!