GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Habari za muda huu.
Taarifa ambazo nimezipokea japo kwa taabu na usiri mkubwa zinasema kwamba hatimaye Rais wa TFF Ndugu Jamal Emily Malinzi amekubali kuondoa jina lake katika Uchaguzi ujao wa TFF na ameamua kutogombea tena.
Inasemekana taarifa zote za kuhusu hili zitatolewa ndani ya Saa 24 au 48 zijazo kupitia kwa Wakili wake Mkuu na kwamba unasubiriwa tu Mkutano wa dharura wa TFF ambao unategemewa kufanyika Kesho ambao utajadili mambo mengi ila hili la Malinzi na Mwesigwa pamoja na Timu ya Taifa iliyopo Afrika ya Kusini katika michuano ya COSAFA ndiyo zitakuwa Agenda Kuu.
Narudia tena kusema kuwa hatimaye Rais wa TFF Jamal E. Malinzi ameamua kuondoa jina lake na kujitoa rasmi katika Kinyang'anyiro.
Ni hayo tu kwa sasa na nitarudi tena baadae muda wa Saa tano ( 5 ) kamili usiku tuendelee na mengineyo ila kwa sasa habari ni hii.
Kila la Kheri Ally Mayai na Mtemi Ramadhan.
Taarifa ambazo nimezipokea japo kwa taabu na usiri mkubwa zinasema kwamba hatimaye Rais wa TFF Ndugu Jamal Emily Malinzi amekubali kuondoa jina lake katika Uchaguzi ujao wa TFF na ameamua kutogombea tena.
Inasemekana taarifa zote za kuhusu hili zitatolewa ndani ya Saa 24 au 48 zijazo kupitia kwa Wakili wake Mkuu na kwamba unasubiriwa tu Mkutano wa dharura wa TFF ambao unategemewa kufanyika Kesho ambao utajadili mambo mengi ila hili la Malinzi na Mwesigwa pamoja na Timu ya Taifa iliyopo Afrika ya Kusini katika michuano ya COSAFA ndiyo zitakuwa Agenda Kuu.
Narudia tena kusema kuwa hatimaye Rais wa TFF Jamal E. Malinzi ameamua kuondoa jina lake na kujitoa rasmi katika Kinyang'anyiro.
Ni hayo tu kwa sasa na nitarudi tena baadae muda wa Saa tano ( 5 ) kamili usiku tuendelee na mengineyo ila kwa sasa habari ni hii.
Kila la Kheri Ally Mayai na Mtemi Ramadhan.