Breaking news kuhusu kifo cha ngwea/ lingine lililotufikia hivi punde kuusu m2-the-p

Dah! Inasikitishaaaa!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Taarifa:
Kama una ndugu yako anakwambia anaenda South Africa na siyo kimasomo na wala si mfanyabiashara halali na wala si Employed official kwa sasa South Africa kwa Watanzania hakuna ajira zaidi ya ujambazi na kuuza unga, usishangae ndugu yako akirudi kwenye coffin.

Naijuwa South Africa vyema huwezi kuwa na saving kwa kazi za vibaruwa utakuwa unatwanga maji kwenye kinu, na hata ukiwa msomi nchi yao hawatoi ajila za kisomi kwa wageni unless hakuna raia mwenye kuweza kujaza nafasi hiyo.
 

 

Tanzania inapisha saa moja tu na Afrika Kusini!
 

RAFIKI WA MANGWEA M to The P NAYE AFARIKI DUNIARAFIKI WA MANGWEA M to The P NAYE AFARIKI DUNIA

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…