Breaking News Wafanyakazi wa ofisi za kituo cha television cha Al Jazeera wakimbia ofisi zao haraka, yadaiwa ni hofu dhidi shambulizi la IDF!

Breaking News Wafanyakazi wa ofisi za kituo cha television cha Al Jazeera wakimbia ofisi zao haraka, yadaiwa ni hofu dhidi shambulizi la IDF!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Hajulikani nani aliyetoa taarifa hiyo iliyoleta taharuki hiyo ila hadi muda huu ofisi hizo huko Beirut zimebaki tupu baada ya Wafanyakazi wote kukimbia ili kuokoa maisha yao

Taarifa kamili tutawaletea


October 17, 2024
Al Jazeera office evacuated in Beirut after receiving warnings

By Reuters

Today, 3:07 pm
DUBAI, United Arab Emirates — Qatar’s Al Jazeera TV says its office in Beirut had been evacuated after the building received several warnings.

The broadcaster did not say who issued the warnings.
 
Ndio waone kuwa Israel imechanganyikiwa.
Unaenda kuwafokoa waandishi wa habari wana shida gani na wewe!??
Sidhani kama wana chembe ya ubinadamu hawa!
Na ndiyo maana jamii nyingi hazikupenda kuishi na hawa wayahudi wa mchongo!
Ila sishangai! Mafundisho ya dini ya kiyahudi ndivyo yalivyo! Asiye myahudi wanamuita Goyim.

Kwa mafundisho ya dini ya kiyahudi akiua Goyim haupati dhambi.
 
Sidhani kama wana chembe ya ubinadamu hawa!
Na ndiyo maana jamii nyingi hazikupenda kuishi na hawa wayahudi wa mchongo!
Ila sishangai! Mafundisho ya dini ya kiyahudi ndivyo yalivyo! Asiye myahudi wanamuita Goyim.

Kwa mafundisho ya dini ya kiyahudi akiua Goyim haupati dhambi.
Yaleyale ya mahasimu wao, acha wachapane kuitafuta pepo
 
Yaleyale ya mahasimu wao, acha wachapane kuitafuta pepo
Afadhali hao mahasimu wao ila wayahudi wamezidi kwenye Talmudi yao!

Ukiwa engages in Torah study hali ya kuwa wewe ni goyim hukumu yake ni kifo!

Sanhedrin 59a2 ndipo nilipo yanukuu hayo maneno!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hajulikani nani aliyetoa taarifa hiyo iliyoleta taharuki hiyo ila hadi muda huu ofisi hizo huko Beirut zimebaki tupu baada ya Wafanyakazi wote kukimbia ili kuokoa maisha yao

Taarifa kamili tutawaletea


October 17, 2024
Al Jazeera office evacuated in Beirut after receiving warnings

By Reuters

Today, 3:07 pm
DUBAI, United Arab Emirates — Qatar’s Al Jazeera TV says its office in Beirut had been evacuated after the building received several warnings.

The broadcaster did not say who issued the warnings.
Huu ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Waandishi wa habari sio wanajeshi.
IDF ni jeshi la mashetani
 
Baadhi yao ni member wa magaidi ama wanaunga mkono ugaidi

Washughulikiwe effectively.
Kabisa mkuu hata sisi tusipokuwepo kuna vizazi vyetu magaidi lazima yashughulikiwe bila simile yeyote hata kama ni ndugu yangu wa damu.
 
Back
Top Bottom