Breaking News Wafanyakazi wa ofisi za kituo cha television cha Al Jazeera wakimbia ofisi zao haraka, yadaiwa ni hofu dhidi shambulizi la IDF!

Wasije wakamuua tu Dorsa Jabbari, huwa nina wasiwasi sana juu ya usalama wake.

Mungu amlinde.
 
Kuna binga moja mchana hapa limeleta mada ya Idf kupigwa nikaandika hakukuchi leo mtaona moto wa majibu.
Ndio kazi imeanza mpk kukuche msije sema ni wanawake na watoto,kamanda wenu kashachapwa huko
 
Vita na ile dini inayoita wengine kafiri wewe unawasemaje.
 
yaani watu na mitutu ya bunduki wanataka kupigana na washika vipaza sauti halafu ndo utakuta wanajitamba sisi hatari kwenye mswala ya vita...israeli wapuuzi sijapata kuona
 
Yaani nyinyi Waislamu bana yale mabaya yote yaliyoandikwa kwenye kitabu cha shetani wenu kaallah huwa mnageuzia wayahudi wa watu? Sasa mm nakupa aya zenu za kishetani za chuki hapa. Soma hiyo Quran 9:30 pamoja na hizo Ayat nyingine zinazochochea chuki dhidi ya jamii nyingine. Nakutaka na wewe utupe maandiko ya Torah yanayoeneza uovu dhidi ya jamii nyingine. Kama huna ukae kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…