Harmonize wa Jf
Member
- Jan 6, 2022
- 56
- 336
Wanajeshi 30 wa Israel WAMEUWAWA leo Huko Lebanon kufuatia shambulizi la kushtukiza yaani ambush lililofanywa na Hezbollah,
Hezbollah waliwavamia wanajeshi wa Israel ghafla na kuanza mashambulizi ya kurushiana RISASI kitu kilichopelekea kuuwawa Kwa wanajeshi hao,
Israel Bado haijatoa taarifa rasmi ya tukio ilo,
Hezbollah imethibitisha kuwauwa wanajeshi hao wa Israel,
Hezbollah IMESEMA kwamba imejipanga kikamilifu kupambana na uvamizi huo wa Israel
Hezbollah waliwavamia wanajeshi wa Israel ghafla na kuanza mashambulizi ya kurushiana RISASI kitu kilichopelekea kuuwawa Kwa wanajeshi hao,
Israel Bado haijatoa taarifa rasmi ya tukio ilo,
Hezbollah imethibitisha kuwauwa wanajeshi hao wa Israel,
Hezbollah IMESEMA kwamba imejipanga kikamilifu kupambana na uvamizi huo wa Israel