Breaking news!!!!!!!!!!

Breaking news!!!!!!!!!!

Dmussa,

Mimi sio msemaji wa Diallo au kampuni yake kwahiyo ukisema hawana ni makosa mno unless umeenda BRELA na kukuta info kama hiyo haipo.

Nilichosema mimi ni tofauti na hiyo basic info ambayo unaongelea.

Kampuni hizi za ndege mara nyingi huwa wanakodisha ndege na hivyo kuwafanya wawe na fixed assets kidogo sana. Mara nyingi pesa unayodeclare BRELA ni hiyo ambayo unaweza kusema assets (fixed and current).

Wanapojaza mtaji BRELA wanaweza kuweka pesa kidogo sana, huwezi kupata ukweli wote kwa kutumia info ya BRELA na ndio maana nikakuambia hizo ni internal information.

Ukiniuliza mambpo ya DM Investment mimi siwezi kujua, ni sawa na kusema kompyuta za IBM zimeenda wapi? Kila product au technology ina wakati wake. Haina maana kuondoka kwenye soko moja na kuhamia kwingine ina maana umeshindwa biashara.

Watanzania tuko negative mno na kila kitu, matokeo yake wote tunakuwa MAJUHA huku wageni wanachukua nchi.

Hata kama ni ufisadi basi afadhali fisadi Mtanzania anayewekeza Tanzania kuliko hao wanaokuja kuficha fedha Ulaya.
 
Watanzania tuko negative mno na kila kitu, matokeo yake wote tunakuwa MAJUHA huku wageni wanachukua nchi.

Hata kama ni ufisadi basi afadhali fisadi Mtanzania anayewekeza Tanzania kuliko hao wanaokuja kuficha fedha Ulaya.

I didn't say I'm negative about Diallo Mkuu, I said he seems like his Homework was'nt done well hivi hakuwa na Internal Auditor(Risk analyst). There is no point kuanzisha such a CAPEX project and let it die after a few months?? Hivi hata Break Even point aliifikia au ndio iko 5yrs to come????

Kwangu kuwekeza bongo ni jambo la maana sana ila nashindwa kuelewa upeo wetu katika kuwekeza uko wapi...labda mkuu unisaidie katika hili.
 
I didn't say I'm negative about Diallo Mkuu, I said he seems like his Homework was'nt done well hivi hakuwa na Internal Auditor(Risk analyst). There is no point kuanzisha such a CAPEX project and let it die after a few months?? Hivi hata Break Even point aliifikia au ndio iko 5yrs to come????

Kwangu kuwekeza bongo ni jambo la maana sana ila nashindwa kuelewa upeo wetu katika kuwekeza uko wapi...labda mkuu unisaidie katika hili.

Mkuu DMussa,
Mimi nadhani ukisoma vizuri sababu walizotoa Community Airline ni za msingi.
1. Cost ya wet lease ilikuwa kubwa na wameweza kupata vendor mwingine ambaye anaweza kusupply hizo ndege tena kwa dry lease at half price with better terms including your own pilots. Sasa huoni kuwa huo mkataba wa kwanza haukuwa mzuri na kama any dynamic businessmen decision waliofikia ni sahihi kabisa.

Biashara yoyote lazima ujaribu kwanza sasa kama Community Airline wamejaribu na kuona kuwa Price Leadership strategy/Low Cost Producer( By Professor Michael Porter in his book Competitive Strategy))inafaa kwenye Aviation Industry hapa kwetu kwanini wasijipange upya katika kupunguza cost.Wewe huoni kuwa Risk Analyst mzuri ameweza kuona hili

Mi nadhani tuwaombee heri warudi salama ila wasikimbie kama wale wa NICO(Tanzania One).

Vilevile mkuu kufikia break even point lini ni uamuzi tu waliowekeza na kwa Industy kama ya Aviation sio rahisi hivyo. Kwahiyo hata kama wameproject after 5 years huo ni uamuzi wao na besides wanaweza wakaamua hivyo ila kuua upinzani tu alafu ndo wanaanza kazi ya kutengeneza faida.

Mimi nawapa BIG UP Community Airline, maana kuanzisha shirika la ndege na kuanza kuwapeleka mswaki ATCL na Precision si Mchezo,tena kwa kipindi kifupi hivyo.Je wengi wetu humu tunaweza kuanzisha biashara of that magnitude????


Airline cancels Turkish plane leases
By Mkinga Mkinga

Community Airlines, a local firm, has suspended its operations for an indterminate period due to the state of its contracts with a plane leasing company.

The company's director Anthony Diallo said yesterday that the withdrawal of the company�s two jets leased from Kegagus of Turkey was a blow to frequent fliers who had quickly been won by community airlines services.

The move also dampens prospects of even lower airfares for travellers as the airline had ended dominance by two operators, Precision Air and Air Tanzania Co. Ltd (ATCL).

More than 30 employees are also uncertain about their jobs as the airline�s management put them on half salaries.

The director said they were forced to terminate the plane leasing contracts because the charges demanded were exorbitant.

Community Airlines was using two Airbus jets that are classified as speedier and wider in capacity for that category of passenger planes, and had already cut down fares in some of its routes.

Mr Diallo, a former minister, however said plans were underway to resume operations.

�We are working on delivery of other planes at cheaper rates to continue operating. We were paying $500 000 a month to Kegagus for each of the planes but another dealer is ready to offer them for $250, 000 each,� explained Diallo.

Diallo who is MP for Ilemela said the company was moving from wet to dry leasing of the planes. �In the first arrangement we brought in the planes complete with their crew and had no direct control over their schedules,� he elaborated.

He said that in dry leasing, the company would hire planes and employ its own crew and take direct control on expenditure and operations.


Commenting on suspicions that Community Airlines had failed to pay out its debtors, including the Kegasus Company of Turkey, Mr Diallo said that is hearsay. Those owed by the company have to bring their invoices and the company will clear their debts, and of course that is business,he declared.

It was Community Airlines who terminated the Kegagus contract, with some of the workers given half salary terms while waiting for other planes to restart operations, he added

Source: The Citizen
 
Back
Top Bottom