Dmussa,
Mimi sio msemaji wa Diallo au kampuni yake kwahiyo ukisema hawana ni makosa mno unless umeenda BRELA na kukuta info kama hiyo haipo.
Nilichosema mimi ni tofauti na hiyo basic info ambayo unaongelea.
Kampuni hizi za ndege mara nyingi huwa wanakodisha ndege na hivyo kuwafanya wawe na fixed assets kidogo sana. Mara nyingi pesa unayodeclare BRELA ni hiyo ambayo unaweza kusema assets (fixed and current).
Wanapojaza mtaji BRELA wanaweza kuweka pesa kidogo sana, huwezi kupata ukweli wote kwa kutumia info ya BRELA na ndio maana nikakuambia hizo ni internal information.
Ukiniuliza mambpo ya DM Investment mimi siwezi kujua, ni sawa na kusema kompyuta za IBM zimeenda wapi? Kila product au technology ina wakati wake. Haina maana kuondoka kwenye soko moja na kuhamia kwingine ina maana umeshindwa biashara.
Watanzania tuko negative mno na kila kitu, matokeo yake wote tunakuwa MAJUHA huku wageni wanachukua nchi.
Hata kama ni ufisadi basi afadhali fisadi Mtanzania anayewekeza Tanzania kuliko hao wanaokuja kuficha fedha Ulaya.
Mimi sio msemaji wa Diallo au kampuni yake kwahiyo ukisema hawana ni makosa mno unless umeenda BRELA na kukuta info kama hiyo haipo.
Nilichosema mimi ni tofauti na hiyo basic info ambayo unaongelea.
Kampuni hizi za ndege mara nyingi huwa wanakodisha ndege na hivyo kuwafanya wawe na fixed assets kidogo sana. Mara nyingi pesa unayodeclare BRELA ni hiyo ambayo unaweza kusema assets (fixed and current).
Wanapojaza mtaji BRELA wanaweza kuweka pesa kidogo sana, huwezi kupata ukweli wote kwa kutumia info ya BRELA na ndio maana nikakuambia hizo ni internal information.
Ukiniuliza mambpo ya DM Investment mimi siwezi kujua, ni sawa na kusema kompyuta za IBM zimeenda wapi? Kila product au technology ina wakati wake. Haina maana kuondoka kwenye soko moja na kuhamia kwingine ina maana umeshindwa biashara.
Watanzania tuko negative mno na kila kitu, matokeo yake wote tunakuwa MAJUHA huku wageni wanachukua nchi.
Hata kama ni ufisadi basi afadhali fisadi Mtanzania anayewekeza Tanzania kuliko hao wanaokuja kuficha fedha Ulaya.